Je, huyu ananipenda?

Habari zenu wanaJF,

Naombeni ushauri wenu. Nimekua katika mahusiano na huyu msichana kwa miezi 8 sasa. Ni msichana ambae anajiheshimu na hana makuu. Katika kipindi chote hiki ameweza kutenga muda wake kwa ajili yangu mara nyingi sana ikiwa ni pamoja na kunitembelea kwangu, kunipa company katika sherehe mbalimbali kama harusi, n.k.

Tatizo ni kwamba pamoja na kwamba tunapokua pamoja anakua mwenye furaha, na anafurahia company yangu, ni kwamba kila nikimweleza jinsi gani ninampenda na nina malengo nae huwa anajibu "asante". Hajawahi kunitamkia kwa mdomo, au hata kupitia msg kwamba ananipenda. Huwa anatoa tu shukrani za kawaida.

Wakati ninapokua nimekaa nae, nikijaribu kumshika, n.k, naona kama hakuna hisia zozote kwake.

Najiuliza vitu viwili, kabla ya kuwa na mimi alishawahi kutendewa ukatili fulani, au hanipendi.

Naombeni ushauri wenu.

Asante.
duuuuh.. mkuu ww ni kama mm vile... ngoja nisome comments za wadau
 
Huyo kuna kitu anakitafuta toka kwako akishakipata tu naye anapotea mazima humwon hata akija kukupa kampan tena
 
A toast to you my brother...

hniiq.jpg
 
sasa ndu
Habari zenu wanaJF,

Naombeni ushauri wenu. Nimekua katika mahusiano na huyu msichana kwa miezi 8 sasa. Ni msichana ambae anajiheshimu na hana makuu. Katika kipindi chote hiki ameweza kutenga muda wake kwa ajili yangu mara nyingi sana ikiwa ni pamoja na kunitembelea kwangu, kunipa company katika sherehe mbalimbali kama harusi, n.k.

Tatizo ni kwamba pamoja na kwamba tunapokua pamoja anakua mwenye furaha, na anafurahia company yangu, ni kwamba kila nikimweleza jinsi gani ninampenda na nina malengo nae huwa anajibu "asante". Hajawahi kunitamkia kwa mdomo, au hata kupitia msg kwamba ananipenda. Huwa anatoa tu shukrani za kawaida.

Wakati ninapokua nimekaa nae, nikijaribu kumshika, n.k, naona kama hakuna hisia zozote kwake.

Najiuliza vitu viwili, kabla ya kuwa na mimi alishawahi kutendewa ukatili fulani, au hanipendi.

Naombeni ushauri wenu.

Asante.
sasa mkuu wewe umetoa post unahitaji ushauri then unalala mitini huji kujibu maswali ambayo watu wanataka waanzie hapo kujibu unakuwa kimya mkuu
 
ww mtoa mada unaonekana mlokole miezi 8 yote hiyo si umbake tu, ebu jaribu kukaaa nae umuulize nn shida usikute alitendwa mwanzo kwenye mahusiano yake au labda anakuchukulia kaka tu.
 
ungekua n ww apo ungefanyaje?
ki ukwel ukisikia i love u inajibiwa na asante ki ukwel jiongeze mtafute mwenye lile neno la too akusaidie maana inaonekana hana hilo neno kwenye misamiati yake.
 
Back
Top Bottom