mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,533
duuuuh.. mkuu ww ni kama mm vile... ngoja nisome comments za wadauHabari zenu wanaJF,
Naombeni ushauri wenu. Nimekua katika mahusiano na huyu msichana kwa miezi 8 sasa. Ni msichana ambae anajiheshimu na hana makuu. Katika kipindi chote hiki ameweza kutenga muda wake kwa ajili yangu mara nyingi sana ikiwa ni pamoja na kunitembelea kwangu, kunipa company katika sherehe mbalimbali kama harusi, n.k.
Tatizo ni kwamba pamoja na kwamba tunapokua pamoja anakua mwenye furaha, na anafurahia company yangu, ni kwamba kila nikimweleza jinsi gani ninampenda na nina malengo nae huwa anajibu "asante". Hajawahi kunitamkia kwa mdomo, au hata kupitia msg kwamba ananipenda. Huwa anatoa tu shukrani za kawaida.
Wakati ninapokua nimekaa nae, nikijaribu kumshika, n.k, naona kama hakuna hisia zozote kwake.
Najiuliza vitu viwili, kabla ya kuwa na mimi alishawahi kutendewa ukatili fulani, au hanipendi.
Naombeni ushauri wenu.
Asante.
ndiyo nimeshamtamkia akigoma basi nachuna tuau ni wewe nini?
mtamkie tu jamaa
ungekua n ww apo ungefanyaje?Unaishia kumshika au na mengine unapewa
sasa mkuu wewe umetoa post unahitaji ushauri then unalala mitini huji kujibu maswali ambayo watu wanataka waanzie hapo kujibu unakuwa kimya mkuuHabari zenu wanaJF,
Naombeni ushauri wenu. Nimekua katika mahusiano na huyu msichana kwa miezi 8 sasa. Ni msichana ambae anajiheshimu na hana makuu. Katika kipindi chote hiki ameweza kutenga muda wake kwa ajili yangu mara nyingi sana ikiwa ni pamoja na kunitembelea kwangu, kunipa company katika sherehe mbalimbali kama harusi, n.k.
Tatizo ni kwamba pamoja na kwamba tunapokua pamoja anakua mwenye furaha, na anafurahia company yangu, ni kwamba kila nikimweleza jinsi gani ninampenda na nina malengo nae huwa anajibu "asante". Hajawahi kunitamkia kwa mdomo, au hata kupitia msg kwamba ananipenda. Huwa anatoa tu shukrani za kawaida.
Wakati ninapokua nimekaa nae, nikijaribu kumshika, n.k, naona kama hakuna hisia zozote kwake.
Najiuliza vitu viwili, kabla ya kuwa na mimi alishawahi kutendewa ukatili fulani, au hanipendi.
Naombeni ushauri wenu.
Asante.
ampe tuakisema pesa je?
ki ukwel ukisikia i love u inajibiwa na asante ki ukwel jiongeze mtafute mwenye lile neno la too akusaidie maana inaonekana hana hilo neno kwenye misamiati yake.ungekua n ww apo ungefanyaje?
ha ha haki ukwel ukisikia i love u inajibiwa na asante ki ukwel jiongeze mtafute mwenye lile neno la too akusaidie maana inaonekana hana hilo neno kwenye misamiati yake.