Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Ben Saanane,
Heshima yako. Sioni shida kutekeleza sheria zilizopo. Katiba ni mchakato. Hata kama Katiba itakuja na iwe nzuri kama Malaika wa Mbinguni ikikosa Sheria na Kanuni haina maana kabisa.
Aidha, lazima tujue bila kupata mtu wa kusimamia hiyo Katiba na sheria zake, hakuna tutakapofika. Tuamini hata Katiba ikija ataisimamia kama anavyofanya. Tunajua vipengele vingi sana vya katiba iliyopo vinavyokanyagwa tangu enzi za Mwinyi, Mkapa hata JK. Shida ilikuwa nini? Katiba, sheria au viongozi!!!
Hivyo, hatuwezi kusitisha kusimamia sheria zilizopo kwa kigezo cha Katiba. Inakuja, kama haiji tutaidai.
Heshima yako. Sioni shida kutekeleza sheria zilizopo. Katiba ni mchakato. Hata kama Katiba itakuja na iwe nzuri kama Malaika wa Mbinguni ikikosa Sheria na Kanuni haina maana kabisa.
Aidha, lazima tujue bila kupata mtu wa kusimamia hiyo Katiba na sheria zake, hakuna tutakapofika. Tuamini hata Katiba ikija ataisimamia kama anavyofanya. Tunajua vipengele vingi sana vya katiba iliyopo vinavyokanyagwa tangu enzi za Mwinyi, Mkapa hata JK. Shida ilikuwa nini? Katiba, sheria au viongozi!!!
Hivyo, hatuwezi kusitisha kusimamia sheria zilizopo kwa kigezo cha Katiba. Inakuja, kama haiji tutaidai.
Angekuwa seriou kuwa anataka kubadili nchi angerudisha Rasimu ya Wananchi.Huko kuna maadili na Tunu zote.Maigizo hayajawahi kuwa ya msaada katika kuongoza nchi