Basi hapo ndipo wanapofeli, mtu yeyote yule akikosea inambidi aombe msamaha hata maandiko yanasisitiza hivyo na kuomba msamaha siyo lazima kupiga magoti.ndio kwasababu huwa wanaamini wao hawakosei....na kaa usitegemee eti mwanamke akikukosea akupigie magoti kila siku we ni mwanaume
yaani ukikaa usubrie kuombwa msamaha na mwanamke utaumia sana kwenye mambo mengi wanaume tumeumbwa na roho ngumu sio kama wao akikosea unampa maneno yake ili aelewe ukimaliza hapo mnaendelea na maisha kama kawaid ila ukisubiri mpaka aseme ''samahani'' mkuu utapata tabu sanaBasi hapo ndipo wanapofeli, mtu yeyote yule akikosea inambidi aombe msamaha hata maandiko yanasisitiza hivyo na kuomba msamaha siyo lazima kupiga magoti.
Una mdogo ako wa kike? ambaye hajaolewa?Tabia ya kununa sio nzuri, kwanza unazuia mibaraka!
Amekosea, ameondoka bila kuomba msamaha, we msamehe yapite. Mwezio karudi jioni keshasahau anasalimia kama kawaida!
Na la zaidi, kumnyima unyumba sio adhabu, ni kubomoa nyumba yako ukiwa unaona!
Sahihi kabisaIla twende mbele turudi nyuma, ukiwa na mudi ya kustarehe au kuliwazwa na mwanaume halafu ukapata rijali kweli...
Hisia zote zinabubujikaaa.....
Hiyo ya huyo dada ni zaidi ya HYSTERIA....!!!
Mimi wa mwisho kwetu mkuu!Una mdogo ako wa kike? ambaye hajaolewa?
Hahahahahaha!!! Hamna ubaya mama ishi unavyotaka..Kwaiyo tukicoment humu tunatafuta mbooro
Nimejikuta narudia kusoma hapa, mara tatu tatu!!Tabia ya kununa sio nzuri, kwanza unazuia mibaraka!
Amekosea, ameondoka bila kuomba msamaha, we msamehe yapite. Mwezio karudi jioni keshasahau anasalimia kama kawaida!
Na la zaidi, kumnyima unyumba sio adhabu, ni kubomoa nyumba yako ukiwa unaona!
Marahaba hujambo?“Wapenzi hebu nambieni ukweli
Iko hivi: Asubuhi umekorofishana na mumeo, wandoa kabisa, ukaanza kubwata, hakukujibu kitu kwakua anajua yy ndo mkosa, akaelekea kwenye mishe zake bila kukuomba samahani, aliporudi usiku akakusalimia kama kawaida, ukaitikia ukiwa bado umenuna, akaendelea na mambo yake, time ya kulala ikafika ukalala na kichupi chako, akaanza kukuchokonoa, akakuta una kichupi, akatoka kimyakimya, ww ukavuta shuka kichwani hadi miguuni, akaja na mkasi, shuka likatupwa kule, kichupi kikachanwa kibabe, ukapigwa roba moja kali ukachezea paip (pipe) mpaka ukajikuta unaomba ww samahani.
Sasa si kakubaka huyu unaweza ukamshitaki kwa mwenyekiti wa serikali za mitaa?”
Katika pita pita zangu fb nimekutana na hii,kwanza nikiri kuweka mambo ya mahusiano mtandaoni si kitu cha hekima lakini kilichonipa attention yangu ni hapo jamaa alipoenda kutafuta mkasi na huko kukabwa♀♀wanaume shkamoo zenu.
Hakika!!Usione mtu kavaa sarawili yake na tai na koti barabarani ukasema mwanaume si ndo huyu, akiwa faragha ni zaidi ya nyati aahahahahhaa
Usione mwanamke kavaa dera au tite yake ukasema mwanamke si ndo huyu, ukimuweka ndani fulu kununa, kususa, na kubana aahahahahhaa.
Asante sana jamani Mkuu!!
Asante mkuu. You're welcome Sakayo....Asante sana jamani Mkuu!!
Barikiwa sana!