Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 28,940
- 82,909
Basi hapo ndipo wanapofeli, mtu yeyote yule akikosea inambidi aombe msamaha hata maandiko yanasisitiza hivyo na kuomba msamaha siyo lazima kupiga magoti.ndio kwasababu huwa wanaamini wao hawakosei....na kaa usitegemee eti mwanamke akikukosea akupigie magoti kila siku we ni mwanaume