Je?Hukumu ya kunyongwa kusainiwa na Samia

Je?Hukumu ya kunyongwa kusainiwa na Samia

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
8,019
Reaction score
13,266
Conspiracy:,,,,,

Wahaini wamekuwa wengi hukumu ya kidhalimu ikitoka si chini ya watu 200 watahukumiwa kunyongwa,

Vijana innocent kupewa kesi kubwa tena asilimia kubwa wakiwa hawana hatia inayostahili kupewa kosa hilo hii ipo kimkakati sana na hawajakosea kwa wanachokifanya wanamaanisha,

Je Reis ataingia ktk historia ya kuruhusu sheria ya kifo ifanye kazi? Ianze kutekelezwa?; either kwa kutaka au kutokutaka

Kuna kafara za aina mbili moja ya damu kumwagika, na ingine damu isimwagike

Mfano ajali za kuua watu wengi zinazohusisha damu kumwagika na ajali za meli zinazohusisha kifo bila damu kumwagika

Nature ya Nchi yenu hio kafara zake zinazofanya kazi ni ile ya damu kutokumwagika amabyo ndo huendelea kuwarestrain watu ktk uzezeta wao,

Kilichotokea 0ct29 si kwamba gavo ilikuwa haiwezi kuzuia watu kufa kiasi kile,ilikuwa inaweza fika kufanya ata jambo lenyewe lisitokee ila kwanini waliamua kukaza mpaka yakatokea.

Yametokea ila Nature imegoma kupokea sadaka that why watu wamekuwa reckless and unrestrained anymore,

Ukishaingia maagano ya hilo taifa ukanywa na kile kikombe watu unawaona kama Nguruwe au sisimizi,uongo kwako ndo ukweli na ukweli kwako ndo uongo,unakumbuka ile kauli ya nywi nywii nywaaaa ule ni mlio wa nguruwe akiwa amebananishwa ili achinjwe hutoa mlio huo nywiiii nywiii , kwa maana kwamba aliona watu wake kama Nguruwe means hakuna atakae toa mlio ni za kichwa tuu.

Nataka kusemaje damu zilizomwagika zimekuwa rejected watu waliokufa ni ushindi kwa wanachi kilichobaki ni 9D kuchukuwa nchi yenu hakuna atakaepigwa risasi tena

Kilichobaki mkononi kwa watawala ni hao waliopewa kesi ya Uhain,waliokuswanywa mikoa yote 10 iliyofanya vurugu wahukumiwe kunyongwa na hukumu ya kifo itekelezwe haraka maana hao hao ndo last scape goats( kumbuka mtu akinyongwa hatoki damu) na maiti hairudishwi, wakiona itakuwa ngumu basi tutarajie ajali yoyote ya meli either ziwani au baharini(marehem watapatikana baadhi na wengine watapotea majini hakuna damu.

Tofauti na hayo this Inhumane regime inaenda kuanguka vibaya

Utashangazwa majibu ya tume yatakuja na idadi ndogo ya kwamba watu waliokufa hawazid 50 kila mkoa tena watasema wameuwana wenyewe kwa wenyewe kwa kuchomana vitu vyenye ncha kali, utaambiwa polisi walikuwa wanajaribu kuwadhibiti wahalifu waliokuwa na silaha walizoiba kwa kuvamia vituo vya polisi.

We hujiulizi kwanini kulikuwa na polisi waliokuwa wamevalia kiraia
Na waliokuwa wamevalia sare? na walikuwa wanatembelea gari za private wakiwa na mabunduki basi ripoti itawakana wazi wazi na kusema waliiba silaha wakawa wanashambulia raia na polisi mchezo unaisha ivo

Kwanini viogozi wa dini moja wanapingana hasa Muislims baadhi ya Masheikh na baadhi ya wachungaji. Jibu ni simple wanatetea utawala wa giza maana nao ni maajenti hawataki kuona shughuli zao zikifail

Za kuambiwa changanya na zako
 
Ni muhimu sana Rais kusaini ili hao watu wanyongwe na hata asiposaini watanyongwa hivyohivyo
 
Rais wa mwisho kusaini hati ya kunyonga ni Nyerere. I'm not sure about Mwinyi, but the rest hawakunyonga mtu.

Hizo kesi za uhaini ni geresha tu, maagizo toka juu yameshatoka waachiwe. Hii nchi inaendeshwa kwa matamko tu kutoka juu idara zote. Nchi ya kipumbavu sana hii.
 
Inhumane regime lead by kibibi kipenda damu
 
Ata wakinyonga tarehe 9 dec hatupoi.Hata kama njemba wa jwtz watakuwepo.Ni siku ya ukomboz wa taifa letu pendwa Tanzania.
 
Conspiracy:,,,,,

Wahaini wamekuwa wengi hukumu ya kidhalimu ikitoka si chini ya watu 200 watahukumiwa kunyongwa,

Vijana innocent kupewa kesi kubwa tena asilimia kubwa wakiwa hawana hatia inayostahili kupewa kosa hilo hii ipo kimkakati sana na hawajakosea kwa wanachokifanya wanamaanisha,

Je Reis ataingia ktk historia ya kuruhusu sheria ya kifo ifanye kazi? Ianze kutekelezwa?; either kwa kutaka au kutokutaka

Kuna kafara za aina mbili moja ya damu kumwagika, na ingine damu isimwagike

Mfano ajali za kuua watu wengi zinazohusisha damu kumwagika na ajali za meli zinazohusisha kifo bila damu kumwagika

Nature ya Nchi yenu hio kafara zake zinazofanya kazi ni ile ya damu kutokumwagika amabyo ndo huendelea kuwarestrain watu ktk uzezeta wao,

Kilichotokea 0ct29 si kwamba gavo ilikuwa haiwezi kuzuia watu kufa kiasi kile,ilikuwa inaweza fika kufanya ata jambo lenyewe lisitokee ila kwanini waliamua kukaza mpaka yakatokea.

Yametokea ila Nature imegoma kupokea sadaka that why watu wamekuwa reckless and unrestrained anymore,

Ukishaingia maagano ya hilo taifa ukanywa na kile kikombe watu unawaona kama Nguruwe au sisimizi,uongo kwako ndo ukweli na ukweli kwako ndo uongo,unakumbuka ile kauli ya nywi nywii nywaaaa ule ni mlio wa nguruwe akiwa amebananishwa ili achinjwe hutoa mlio huo nywiiii nywiii , kwa maana kwamba aliona watu wake kama Nguruwe means hakuna atakae toa mlio ni za kichwa tuu.

Nataka kusemaje damu zilizomwagika zimekuwa rejected watu waliokufa ni ushindi kwa wanachi kilichobaki ni 9D kuchukuwa nchi yenu hakuna atakaepigwa risasi tena

Kilichobaki mkononi kwa watawala ni hao waliopewa kesi ya Uhain,waliokuswanywa mikoa yote 10 iliyofanya vurugu wahukumiwe kunyongwa na hukumu ya kifo itekelezwe haraka maana hao hao ndo last scape goats( kumbuka mtu akinyongwa hatoki damu) na maiti hairudishwi, wakiona itakuwa ngumu basi tutarajie ajali yoyote ya meli either ziwani au baharini(marehem watapatikana baadhi na wengine watapotea majini hakuna damu.

Tofauti na hayo this Inhumane regime inaenda kuanguka vibaya

Utashangazwa majibu ya tume yatakuja na idadi ndogo ya kwamba watu waliokufa hawazid 50 kila mkoa tena watasema wameuwana wenyewe kwa wenyewe kwa kuchomana vitu vyenye ncha kali, utaambiwa polisi walikuwa wanajaribu kuwadhibiti wahalifu waliokuwa na silaha walizoiba kwa kuvamia vituo vya polisi.

We hujiulizi kwanini kulikuwa na polisi waliokuwa wamevalia kiraia
Na waliokuwa wamevalia sare? na walikuwa wanatembelea gari za private wakiwa na mabunduki basi ripoti itawakana wazi wazi na kusema waliiba silaha wakawa wanashambulia raia na polisi mchezo unaisha ivo

Kwanini viogozi wa dini moja wanapingana hasa Muislims baadhi ya Masheikh na baadhi ya wachungaji. Jibu ni simple wanatetea utawala wa giza maana nao ni maajenti hawataki kuona shughuli zao zikifail

Za kuambiwa changanya na zako
Hukumu hiyo ilifaa na inafaa kuanza kutekelezwa kwa wahuni watwawala waliolitumbukiza taifa kwenye huu mkwamo,machafuko,mauaji na wizi wa chaguzi,ufisadi na utawala uliopungukiwa maadili!
 
Rais wa mwisho kusaini hati ya kunyonga ni Nyerere. I'm not sure about Mwinyi, but the rest hawakunyonga mtu.

Hizo kesi za uhaini ni geresha tu, maagizo toka juu yameshatoka waachiwe. Hii nchi inaendeshwa kwa matamko tu kutoka juu idara zote. Nchi ya kipumbavu sana hii.
Kati ya Marais walinyonga sana kwenye hii nchi ni Mwinyi, Nyerere alinyonga Mtu mmoja tu yule akiemuua Kleruu

Mwinyi kapiga sana Beto Condemn Vibaya sana hii ni story toka kwa Babu yangu aliekuwa askari jela miaka hiyoo
 
Kati ya Marais walinyonga sana kwenye hii nchi ni Mwinyi, Nyerere alinyonga Mtu mmoja tu yule akiemuua Kleruu

Mwinyi kapiga sana Beto Condemn Vibaya sana hii ni story toka kwa Babu yangu aliekuwa askari jela miaka hiyoo

Source "Trust me bro."
 
Kunyonga watu 200 ni genocide vijana, haitakaa itokee, labda wafanye extrajudicial kama walivyofanya Oct 29 kule mitaani kwa kuzima mitandao na taa iwe gizani, japo wameumbuka pia. Sio kwenye mfumo rasmi na kuweka na records kabisa
 
Back
Top Bottom