Huenda ni hao wageni ama majiraniPamoja kaka nitajitahidi... Nawaza hawa wageni walio Kuja huwenda Kati yako yupo mwenye michezo hiyo
Acha mawazo ya uzinzi mjumbe yaani ushaulia mingo mgongo wa mtu? Najua hapo kichwani kwako unataka kuanza kumuuliza jinsia yake. HahahahahAisee, huo mgongo ni wako??? Hongera una mgongo mzuri!
Kama ulikuwepo!Acha mawazo ya uzinzi mjumbe yaani ushaulia mingo mgongo wa mtu? Najua hapo kichwani kwako unataka kuanza kumuuliza jinsia yake. Hahahahah
Wakuu kwema, naishi nyumban ya kupanga mm na familia yangu, miezi 6 nyuma tumeupokea wageni wa4 wapya hapa tunapo ishi. Baada ya ugeni huo nikaanza kusikia jirani analalamika kuwepo Kwa matukio ya kishirikina mala mtu kusikika anatembea juu ya bati, mwingine akadai alikuta kachanjwa chale.
Juzi wakati nimelala saa 7:40 usiku nikasikia kitu kinatenbea juu ya batikishindo nicha wastani, Kwakua palikua tulivu nikawaza pengine ni ndege au paka wanatembea huko maana hapa pia Kuna paka hua inavizia na kuingia ndani ya Fens kula mabako ya vyakula.
Leo nilikua nahisi jasho wakati najifuta futa jasho nikapifisha mkono mgogoni chini ya bega la kulia nikatoka na ngozi nikawaza Nini hiki ni ki barango au vip baadae nikanikagua nikakutana na mkwaruzo hii ambayo sijui nilipata pataje.
Em wajuzi nambieni kama hiki kinaweza kua ni chale au ni kipi na kipi nifanye maana nina siku siendi kanisani Wala sijawahi kwenda Kwa mganga ila nina weza kwenda kama itani bidi.
Hilo ni tako au tumbo?Wakuu kwema, naishi nyumban ya kupanga mm na familia yangu, miezi 6 nyuma tumeupokea wageni wa4 wapya hapa tunapo ishi. Baada ya ugeni huo nikaanza kusikia jirani analalamika kuwepo Kwa matukio ya kishirikina mala mtu kusikika anatembea juu ya bati, mwingine akadai alikuta kachanjwa chale.
Juzi wakati nimelala saa 7:40 usiku nikasikia kitu kinatenbea juu ya batikishindo nicha wastani, Kwakua palikua tulivu nikawaza pengine ni ndege au paka wanatembea huko maana hapa pia Kuna paka hua inavizia na kuingia ndani ya Fens kula mabako ya vyakula.
Leo nilikua nahisi jasho wakati najifuta futa jasho nikapifisha mkono mgogoni chini ya bega la kulia nikatoka na ngozi nikawaza Nini hiki ni ki barango au vip baadae nikanikagua nikakutana na mkwaruzo hii ambayo sijui nilipata pataje.
Em wajuzi nambieni kama hiki kinaweza kua ni chale au ni kipi na kipi nifanye maana nina siku siendi kanisani Wala sijawahi kwenda Kwa mganga ila nina weza kwenda kama itani bidi.
Nimekupata vizuri mkuuMchawi hawezi Kuja kukupiga chale usiku ila anaweza kuja kuchukuwa nywele zako kidogo akasepa kufanya DNA yake.
Mganga wa tunguli ndio anapiga chale kwahiyo ili upate chale ni lazima uende mwenyewe Kwa mganga na wembe wako wa TOPAZ
Perhaps joto ama Kuna mdudu kakutembea, ama ni fungus, through upo mkoa gani tuanze na HiloWakuu kwema, naishi nyumban ya kupanga mm na familia yangu, miezi 6 nyuma tumeupokea wageni wa4 wapya hapa tunapo ishi. Baada ya ugeni huo nikaanza kusikia jirani analalamika kuwepo Kwa matukio ya kishirikina mala mtu kusikika anatembea juu ya bati, mwingine akadai alikuta kachanjwa chale.
Juzi wakati nimelala saa 7:40 usiku nikasikia kitu kinatenbea juu ya batikishindo nicha wastani, Kwakua palikua tulivu nikawaza pengine ni ndege au paka wanatembea huko maana hapa pia Kuna paka hua inavizia na kuingia ndani ya Fens kula mabako ya vyakula.
Leo nilikua nahisi jasho wakati najifuta futa jasho nikapifisha mkono mgogoni chini ya bega la kulia nikatoka na ngozi nikawaza Nini hiki ni ki barango au vip baadae nikanikagua nikakutana na mkwaruzo hii ambayo sijui nilipata pataje.
Em wajuzi nambieni kama hiki kinaweza kua ni chale au ni kipi na kipi nifanye maana nina siku siendi kanisani Wala sijawahi kwenda Kwa mganga ila nina weza kwenda kama itani bidi.
Mimi napiga tungi la kistaarabu daily ndio maana wanga na wachawi hawana time na Mimi haaahaa 😂Vuta bangi au pika pork mkuu hao washenzi hatawa rudi tena