Chonde chonde wanaJf naombeni kujua kama kweli wakati wa uchaguzi 2010 katika baadhi ya wagombea wa cdm walifanyiwa hujuma kwa baadhi ya mamluki waliochukua form za kugombea na kutokomea nazo ktk ngaz ya majimbo,na udiwani ili kuondoa upinzani na wagombea wa ccm kupita bila kupigwa? Kama ni kweli ni majimbo gan? Au kata zipi? CHONDECHONDE MAMODS NAOMBENI MSIFUTE HII THREAD NI MUHIMU KWANGU KAMA NITAPATA MAJIBU.NAOMBENI DATA JAMANI.