Kosa ni la dadaako anaanzaje kuwaza mambo ya mirathi na mume bado yuko hai???? Tena mbaya zaid anawamezesha mambo haya watoto wadogo miaka 15!!!!!! Dadaako hana busara kichwa ni bora umshauri ajirekebishe amuombe msamaha mumewe waendelee na maisha ila kamanaww unaona dadaako yuko sahihi na kaonewa basi naww kichwan una shida