Je hili linawezekana?

Je hili linawezekana?

TADPOLE

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2015
Posts
3,303
Reaction score
10,914
Wakuu wa jukwaa hili habarini,
Naomba kuwauliza swali dogo tu linalonitatiza natumaini mtanijibu. Eti inawezekana mtu aliyesoma Sayansi O-level na combination kubalance lakini A-level akasoma arts (HGL), kuapply kozi za Sayansi kwa kutumia cheti cha O-level?

Je kama inawezekana ni kwa ngazi ya Diploma, Degree au Cheti?
 
Sidhani ikiwa inawezekana Kwa Hilo....!
 
Back
Top Bottom