je hii ni kweli?

je hii ni kweli?

msaranga1

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2013
Posts
333
Reaction score
273
Smart Man + Smart Woman = Romance .
Smart Man + Dumb Woman = Affair .
Dumb Man + Smart Woman = Marriage .
Dumb Man + Dumb Woman =Pregnancy!!!
Smarter Man + Smart Woman = Breakup
Smart Man + Smarter Woman = Heartbreaa
 
Smart Man + Smart Woman = Romance .
Smart Man + Dumb Woman = Affair .
Dumb Man + Smart Woman = Marriage .
Dumb Man + Dumb Woman =Pregnancy!!!
Smarter Man + Smart Woman = Breakup
Smart Man + Smarter Woman = Heartbreaa

Msaranga, mbona unanitisha? I'm smart na mke wangu ni smart pia na tunapendana mno (japo naibia nje kidogo ila nampenda mke wangu ile mbaya), sifikirii kumwacha hata siku moja kwani sioni mwanamke anayelingana naye huko nje. Kidogo naweza kumlinganisha na FP hapa JFna ndiyo maana natamani sana kumuona yeye live nimpe offer ya mishikaki.
 
Last edited by a moderator:
Msaranga, mbona unanitisha? I'm smart na mke wangu ni smart pia na tunapendana mno (japo naibia nje kidogo ila nampenda mke wangu ile mbaya), sifikirii kumwacha hata siku moja kwani sioni mwanamke anayelingana naye huko nje. Kidogo naweza kumlinganisha na FP hapa JFna ndiyo maana natamani sana kumuona yeye live nimpe offer ya mishikaki.

Haya bana,but don't say more,somebody'll get hurt,don't say i didn't worn you!
 
Last edited by a moderator:
Haya bana,but don't say more,somebody'll get hurt,don't say i didn't worn you!

Eiyer ole wako uje nyumbani kwangu kumtafuta mke wangu, utanitambua. Nina silaha za kila aina hapa, ohooooooo! Wewe Eiyer? naona unanitafuta.
 
Last edited by a moderator:
Msaranga, mbona unanitisha? I'm smart na mke wangu ni smart pia na tunapendana mno (japo naibia nje kidogo ila nampenda mke wangu ile mbaya), sifikirii kumwacha hata siku moja kwani sioni mwanamke anayelingana naye huko nje. Kidogo naweza kumlinganisha na FP hapa JFna ndiyo maana natamani sana kumuona yeye live nimpe offer ya mishikaki.

WEWE mkeo kweli ni smarter, anajua kuweka mambo chini ya carpet.

unadhani yeye hatongonzwi nje, usiusemee moyo my bro utakuja shangaa
 
WEWE mkeo kweli ni smarter, anajua kuweka mambo chini ya carpet.

unadhani yeye hatongonzwi nje, usiusemee moyo my bro utakuja shangaa
ayanda, hayo unayosema hapo juu ni hisia zako. Kwani nani amekuambia mke wangu hatongozwi nje? Mimi mbona sijasema hayo na sina mashaka nayo kwani mke wangu ni bomba mno, yaani ni mzuri kupita na nampenda kwa kila kitu. Hivyo kutongozwa kwake mimi sishangai na nilishamweleza kama itatokea kaingiwa na shetani basi ajikinge. Kutongozwa ama kutoka nje ya ndoa tupende tusipende ni jambo la kawaida sana ila basi tu watu hawataki kuamini hivyo. Wewe mwanamme kama una hamu ya kutoka nje ya ndoa na mkeo pia anajisikia hivyo hivyo, tusidanganyane. Wanafilana mapadre na walokole sembuse sie?
 
Last edited by a moderator:
ayanda, hayo unayosema hapo juu ni hisia zako. Kwani nani amekuambia mke wangu hatongozwi nje? Mimi mbona sijasema hayo na sina mashaka nayo kwani mke wangu ni bomba mno, yaani ni mzuri kupita na nampenda kwa kila kitu. Hivyo kutongozwa kwake mimi sishangai na nilishamweleza kama itatokea kaingiwa na shetani basi ajikinge. Kutongozwa ama kutoka nje ya ndoa tupende tusipende ni jambo la kawaida sana ila basi tu watu hawataki kuamini hivyo. Wewe mwanamme kama una hamu ya kutoka nje ya ndoa na mkeo pia anajisikia hivyo hivyo, tusidanganyane. Wanafilana mapadre na walokole sembuse sie?

Huo ni mtazamo wako,uko sahihi,ongezeni bidii,mtavuna mnachokipanda.
 
Last edited by a moderator:
Sipingi ila ninavyoelwa huu ni mtazamo,na mawazo tu.Ila kwa ninavyo jua love has no specific formula
 
Msaranga, mbona unanitisha? I'm smart na mke wangu ni smart pia na tunapendana mno (japo naibia nje kidogo ila nampenda mke wangu ile mbaya), sifikirii kumwacha hata siku moja kwani sioni mwanamke anayelingana naye huko nje. Kidogo naweza kumlinganisha na FP hapa JFna ndiyo maana natamani sana kumuona yeye live nimpe offer ya mishikaki.
Inawezekana ni kweli huoni wa kumlinganisha naye huko nje kwa sababu hao wa nje wanakuja kwako na wako akitoka nje haji kwako..
 
Smart Man + Smart Woman = Romance .
Smart Man + Dumb Woman = Affair .
Dumb Man + Smart Woman = Marriage .
Dumb Man + Dumb Woman =Pregnancy!!!
Smarter Man + Smart Woman = Breakup
Smart Man + Smarter Woman = Heartbreaa

Haina fomula, hapo juu ni mashairi tu kama upo interested tukutengenezee bit utoe single......ha ha ha
 
Inawezekana ni kweli huoni wa kumlinganisha naye huko nje kwa sababu hao wa nje wanakuja kwako na wako akitoka nje haji kwako..

Inawezekana na sipingi point yako kwani naishi open minded. Anything is possible na siwezi kusema kamwe mke wangu hatongozwi kwani hata hao wanaonitongoza mimi pia ni wake za watu, tena na wengine wana watoto na wananiambiaga kuwa hawawapendi waume zao zaidi ya watoto wao, wako tu kimahusiano because of the children. So figure it out. Wewe mkeo hatoki, au wewe ni wale wale mnaokwenda magengeni kutwa kucha kununua kila kitu kuhofia mtaibiwa?
 
Huo ni mtazamo wako,uko sahihi,ongezeni bidii,mtavuna mnachokipanda.

Nina imani kuwa sitovuna chochote kwani si mimi niliyepandikiza utokaji nje ya ndoa kwa wanadamu. Tumeyakuta na tutawaachia watoto wetu waendeleze libeneke.
 
Mi naweza kutoa testimony from experience about hiyo ya kwanza. mengine sijui, waulizeni vilaza nao waseme.
 
Mi naweza kutoa testimony from experience about hiyo ya kwanza. mengine sijui, waulizeni vilaza nao waseme.

smart is a relative term. it is not permanent, everyone thinks that he/she is smart.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom