C Chiriku Member Feb 24, 2012 47 8 Feb 25, 2012 #1 Inasemekana kwamba kunywa majivu yaliyokorogwa kwenye maji baada ya tendo huzuia mimba kutungwa? (kwa wenye utaalam wa kibaolojia tafadhali.)
Inasemekana kwamba kunywa majivu yaliyokorogwa kwenye maji baada ya tendo huzuia mimba kutungwa? (kwa wenye utaalam wa kibaolojia tafadhali.)
mgeni10 JF-Expert Member Nov 29, 2010 1,109 369 Feb 25, 2012 #2 Hata kama sijui Bios, MIMBA Inatungwa wapi na hayo unayo kunywa yanaenda wapi?????????? Naona kama sarakasi za kichina
Hata kama sijui Bios, MIMBA Inatungwa wapi na hayo unayo kunywa yanaenda wapi?????????? Naona kama sarakasi za kichina
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,173 Feb 25, 2012 #3 mmm, ulipanda bangi unataka uote mchicha