Syo ya kwel mkuu,kila mwanaume anapenda na anataman kuwa na mchepuko tatzo ni...
>Hana kipato cha kuutunza mchepuko huo ili hali hata familia yake inamshinda
>Level au Wadhifa wake ktk jamii unambana sna maana ni kioo cha jamii
>Hana nguv za kutoshesha kwa kuhudumia mchepko
Hna mda wa kutosha wa kuhudumia mchepko na wife kwa wkt ata toft
>Hana uwezo (techinic)kumudu kila mara kumdanganya mkewe kuwa amechelewa kazn
>Malengo au bajet ya mwaka inazingua,maana mchepko wa sku hiz unademand hela ndef as if wew bank yke
Nawasilisha mkuu
Idilogy super star