Wana Jf,
Hawa viongozi utawakumbuka kwa lipi?
1. J.K. Nyerere;
-nitamkumbuka kwa kuachia umoja wa Watanzania
-kututunzia rasilimali zetu hasa madini,nk.
-kuona thamani ya Watanzania na kuishi maisha kama ya walio wengi.
-Aliwathamini sana wananchi wake.
2. A.H.Mwinyi;
-alitupa uwezo wa kujua yanayoendelea nchi zingine kwa kuruhusu vitu vingi nchini
-ni mtu wa watu asiye na makuu na mtu
-Hakuwa na uwezo wa kujua ni uhuru kiasi gani angetoa ktk sekta ya Uchumi.
3. B.W.MKAPA;
-Aliiwezea uchumi kwani pesa yetu ilikuwa na thamani, hivyo wananchi wengi walinufaika.
-Atleast alikuwa na uelewa nini maana ya uongozi .
-pia alikuwa na vision ya kutaka kupeleka nchi sehemu fulani.
-alijitahidi kuhimarisha miundo mbinu kama barabara na madaraja.
-ALIANZA UFISADI mara tu baada ya kifo cha Mwl. Nyerere.
-alikuwa mtu wa kwanza kufanya biashara binafsi IKULU, na kugeuza IKULU kuwa ofisi za biashara zake.
-Hakika alituibia sana hasa kipindi chake cha mwisho, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu mwaka 2005.
4. J.M. Kikwete;
-Ni kiongozi mwenye sura nzuri.
-Anajua kutia moyo watu jao hali ni ngumu kimaisha lkn tunaishi kwa matumaini ambayo anajua fika kwamba hayatapatikana ktk kipindi chake.
-kiongozi wa kwanza kukosa Trust ya watu wa Usalama wa Taifa, kwani mwaka 2010 maeneo yanakokaliwa na wakuu serikalini kama Oysterbay alipata kura chache kuliko Dr.Slaa.
-Ana Safari nyingi sana ndani na nje ya nchi hadi anakosa muda wa kutatua shida za wananchi.
-Makamu wake na Mama Kikwete nao wana safari nyingi sana na hii ni Matumizi mabaya ya pesa zetu.
-sijui hata anakopeleka nchi-labda anajua yeye.
-kila kitu kimeuzwa sasa -rasilimali zetu
-mgogoro kila mahali; CCM mgogoro, UVCCM mgogoro, wananch migogoro,n.k.
-Anapenda sana kulipiza kisasi; mfano yanayowakuta CHADEMA na viongozi wake sasa ni matokeo ya Dr. Slaa kukataa kutambua Urais wake mwaka jana (mwenye akili atalikua hilo).
-Anawatumia dola (hasa Polisi na Mahakama) kama vyombo vya kuwanyanyasia wananchi mbalimbali wanaodai haki zao.
-Ni kiongozi anayelenga kuwafurahisha rafiki zake, ndugu zake, jamaa zake na si kufanya vitu kwa maslahi ya wananchi hasa ktk nafasi za uongozi.
-Ameshindwa kujifunza ktk na uhalisia na hakika ndani ya muda mfupi, wananchi wengi hawana imani naye tena.
Wadau, nanyi ongezeni mazuri au mabaya mtakayowakumbukia hawa viongozi wetu.
Hawa viongozi utawakumbuka kwa lipi?
1. J.K. Nyerere;
-nitamkumbuka kwa kuachia umoja wa Watanzania
-kututunzia rasilimali zetu hasa madini,nk.
-kuona thamani ya Watanzania na kuishi maisha kama ya walio wengi.
-Aliwathamini sana wananchi wake.
2. A.H.Mwinyi;
-alitupa uwezo wa kujua yanayoendelea nchi zingine kwa kuruhusu vitu vingi nchini
-ni mtu wa watu asiye na makuu na mtu
-Hakuwa na uwezo wa kujua ni uhuru kiasi gani angetoa ktk sekta ya Uchumi.
3. B.W.MKAPA;
-Aliiwezea uchumi kwani pesa yetu ilikuwa na thamani, hivyo wananchi wengi walinufaika.
-Atleast alikuwa na uelewa nini maana ya uongozi .
-pia alikuwa na vision ya kutaka kupeleka nchi sehemu fulani.
-alijitahidi kuhimarisha miundo mbinu kama barabara na madaraja.
-ALIANZA UFISADI mara tu baada ya kifo cha Mwl. Nyerere.
-alikuwa mtu wa kwanza kufanya biashara binafsi IKULU, na kugeuza IKULU kuwa ofisi za biashara zake.
-Hakika alituibia sana hasa kipindi chake cha mwisho, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uchaguzi mkuu mwaka 2005.
4. J.M. Kikwete;
-Ni kiongozi mwenye sura nzuri.
-Anajua kutia moyo watu jao hali ni ngumu kimaisha lkn tunaishi kwa matumaini ambayo anajua fika kwamba hayatapatikana ktk kipindi chake.
-kiongozi wa kwanza kukosa Trust ya watu wa Usalama wa Taifa, kwani mwaka 2010 maeneo yanakokaliwa na wakuu serikalini kama Oysterbay alipata kura chache kuliko Dr.Slaa.
-Ana Safari nyingi sana ndani na nje ya nchi hadi anakosa muda wa kutatua shida za wananchi.
-Makamu wake na Mama Kikwete nao wana safari nyingi sana na hii ni Matumizi mabaya ya pesa zetu.
-sijui hata anakopeleka nchi-labda anajua yeye.
-kila kitu kimeuzwa sasa -rasilimali zetu
-mgogoro kila mahali; CCM mgogoro, UVCCM mgogoro, wananch migogoro,n.k.
-Anapenda sana kulipiza kisasi; mfano yanayowakuta CHADEMA na viongozi wake sasa ni matokeo ya Dr. Slaa kukataa kutambua Urais wake mwaka jana (mwenye akili atalikua hilo).
-Anawatumia dola (hasa Polisi na Mahakama) kama vyombo vya kuwanyanyasia wananchi mbalimbali wanaodai haki zao.
-Ni kiongozi anayelenga kuwafurahisha rafiki zake, ndugu zake, jamaa zake na si kufanya vitu kwa maslahi ya wananchi hasa ktk nafasi za uongozi.
-Ameshindwa kujifunza ktk na uhalisia na hakika ndani ya muda mfupi, wananchi wengi hawana imani naye tena.
Wadau, nanyi ongezeni mazuri au mabaya mtakayowakumbukia hawa viongozi wetu.