Je, hapa kuna mapenzi ya kweli?

Kigezo cha kwanza kuandika hujuwi na ninahisi hata kuongea pia unaongea kwa lafudhi ya Kisukuma, yaani unagombeza maneno yako mwenyewe. Kwa mwanamke hii ni shida na kama niyasemayo ni kweli basi juwa kuwa wewe utakuwa mtu wa kuchezewa tu na mademu maana hujitambui na hauna mapenzi ya kweli kwani unaonekan kuwa bado ni mshamba wa kuja. Mrudie mkeo la sivyo utakuja lia siku huyu demu akikukimbia na kila kitu ulichonacho ndani ya nyumba pamoja na kondomu zako.
 

Haaaaaaaaaaa Mwanamke ataki kurudi kwake amesha ombwa msamaha ataki kusemehe nili amua kumpiga chini na Mimi sitaki upumbavu
 
Bahada ya apo. JF ni shimo la taka kila kitu kinatupiwa huku.
 
Kwanini usitafute Mwanamke mwingine ambaye hayuko kwenye mahusiano? Wanawake wapo wengi sana sana.
 
Huyo mwanamke sio chaguo lako
Nakushauri achana naye na tafuta mwanamke mwingine. Suala la kushindania penzi ni upumbavu.
Huyo mwanamke ananachezea tu. Hebu jiulize jamaa ake akijua itakuwaje maana naona kama unatafuta vita Mura.
Muache kwa style moja tu, mwambie huwezi kuendelea kushare penzi bora yeishe.
 
Acha uoga mzee wanawake wote ni wa moja kufanana tabia ni jambo la kawaida cha msingi jua umeingia kwenye vita na ujipange huwezi jua utapigwa wapi kama ni angani, nchi kavu au majini..
 
Kwa staili iyo ya kula mbususu na kutoa hela hutajenga mkuu
 
Wewe hakutaki mpaka uache mkeo.

Yeye anataka wewe uwepo na awe na kidume kingine.

Zile ndoa za mume zaidi ya mmoja zilizoruhusiwa South Africa na Tanzania ziruhusiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…