The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 1,118
- 2,228
HABARINI ZA ASUBUHI WANAJAMVI.
Naomba tushirikishane mambo machache kuhusu hali iliyopo kwa sasa kuhusiana na suala la derby ya kariakoo.
Je hali hii endelevu ya sintofahamu iliyopo baina ya TFF, TPLB, SIMBA SC pamoja na YOUNG AFRICANS SC ni mpango maalumu wenye mlengo wa kisiasa kwa ajili ya kuneutralize mapambano ya wananchi dhidi ya serikali yao?
Ndani ya hizi siku mbili ni kama agenda zote za kisiasa zimezimwa na hili swala.
Toa maoni yako wewe kama mdau!
✍🏿The introvert
Naomba tushirikishane mambo machache kuhusu hali iliyopo kwa sasa kuhusiana na suala la derby ya kariakoo.
Je hali hii endelevu ya sintofahamu iliyopo baina ya TFF, TPLB, SIMBA SC pamoja na YOUNG AFRICANS SC ni mpango maalumu wenye mlengo wa kisiasa kwa ajili ya kuneutralize mapambano ya wananchi dhidi ya serikali yao?
Ndani ya hizi siku mbili ni kama agenda zote za kisiasa zimezimwa na hili swala.
Toa maoni yako wewe kama mdau!
✍🏿The introvert