Ulimtafutia mchumba ndugu yako mwaka mmoja baada ya kuoana ndoa yao inaanza kuwa ndoana,Mara kadhaa unaletewa mashtaka na mara zote upande mmoja unaonekana una shida kubwa,je ukiamua kutengeneza mazingira ya kuwaachanisha utakuwa umekosea?i
Umesema ni "wana ndoa". Hao wana kiapo cha kuwa pamoja na kama kuna sababu ya wana ndoa hao kuachana iweke wazi kwao kisha wenyewe wataamua waachane au wavumiliane.
Umesema ni "wana ndoa". Hao wana kiapo cha kuwa pamoja na kama kuna sababu ya wana ndoa hao kuachana iweke wazi kwao kisha wenyewe wataamua waachane au wavumiliane.
Umesema ni "wana ndoa". Hao wana kiapo cha kuwa pamoja na kama kuna sababu ya wana ndoa hao kuachana iweke wazi kwao kisha wenyewe wataamua waachane au wavumiliane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.