Je, halali kuwaachanisha wanandoa hawa?

Je, halali kuwaachanisha wanandoa hawa?

Tunguja

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2018
Posts
501
Reaction score
406
Ulimtafutia mchumba ndugu yako mwaka mmoja baada ya kuoana ndoa yao inaanza kuwa ndoana,Mara kadhaa unaletewa mashtaka na mara zote upande mmoja unaonekana una shida kubwa,je ukiamua kutengeneza mazingira ya kuwaachanisha utakuwa umekosea?i
 
Umesema ni "wana ndoa". Hao wana kiapo cha kuwa pamoja na kama kuna sababu ya wana ndoa hao kuachana iweke wazi kwao kisha wenyewe wataamua waachane au wavumiliane.
 
Sisi ma Ustadh hatunaga Justfication. Ni kumuongezea Mwenzake tuu
 
Wakutanishe mkuu na uangalie njia bora ya kuwasuluhisha,ukiwaacha wenyewe...wataishia kwenye gunia la mkaa
 
Umesema ni "wana ndoa". Hao wana kiapo cha kuwa pamoja na kama kuna sababu ya wana ndoa hao kuachana iweke wazi kwao kisha wenyewe wataamua waachane au wavumiliane.
Kinachonitisha mmojawapo anapigwa sana yaani naumia sana
 
Back
Top Bottom