Je G55 kwanini wasirudishe hela walizokula?.

Je G55 kwanini wasirudishe hela walizokula?.

Wakuu. Mimi G55 warudishe tu hela za Ccm
Vibaraka mara nyingi njia zao huwa nifupi ukizingatia akili zinazo tengeneza tatizo mara nyingi huwa haziwezi kutatua tatizo

Ukiitumia akili za mtu mwingine aliye sababisha tatizo uwezo wako wa kufikiri unapungua, (maekekezo)
 
Hao g55 (siyo G55) waliahidiwa kupewa ubunge na ccm kupitia yale maridhiano feki ya Mbowe.

Mbowe akakabidhiwa fuko la hela na Abdul ili akubaliane na mpango huo. Sasa Mbowe ana shinikizo kubwa sana kutoka kwa mama Abdul na Abdul, anaambiwa afanye juu chini kampeni ya no reforms no election isifanikiwe.

Ndiyo maana akina John Mrema wanajitokeza mbele na kuanza kuonges ushubwada.
 
Ile b12 aliyodakishwa mwamba ndiyo inatafutiwa matumizi maana kiendacho kwa mganga hakirudi.
 
G55 waliahidiwa ubunge wa mezani ktk yale maridhiano feki .

John Mrema na kundi lake akili zimewaruka.
 
Back
Top Bottom