Je dr slaa na lipumba kweli walikuwa wana uchungu na nchi au wananchi?

MWAISEMBA CR

Member
Apr 21, 2014
86
78
JE DR SLAA NA LIPUMBA KWELI WALIKUWA WANA UCHUNGU NA NCHI AU WANANCHI?
Kama kweli wana uchungu kwanini waondoke na wakate tamaa na kuachana kabisa kujihusisha na mambo ya kisiasa yanayowahusu wananchi wao kwa makosa au unafki wanaouona wamefanyiwa na Vyama vyao?
Shujaa huwa hakati tamaa!!!!!Lowassa ndiye namuona ni shujaa maana hata pale alipoletewa fitina na viongozi wake wa juu hakusema naacha kuwatumikia wananchi kwa makosa aliyofanyiwa na viongozi wake bali alitafuta mahali pengine atakapoweza kutimiza dhamira yake ya kuwatumikia wananchi!!!
Kweli fitina za viongozi wenzako ndio zikutoe katika dhamira yako ya kuwatumikia wananchi?Bora uitafute kwingine kuliko kufanya kama alivyofanya Dr slaa na Lipumba!!!Maana tafsiri yake inaonyesha walikuwa na yao wanayoyatafuta sio kufanya matakwa ya wananchi!!!!Watu wachache au vingozi wachache hawawezi kukufanya usifikie dhamira yako!!!!!!Kufanya hivyo tayari wamepoteza sifa za kuwa Viongozi wa wananchi!!!
MTU KAMA MIMI NIKIMBIE?HAYO NI MANENO YA MTU WA VITA
 
HATAWANGEONDOKA WOTE!!!!!UKAWA HAIWEZI KUONDOKA!!!!!
Kwanini haiwezi kuondoka?Unavyotaja UKAWA maanake ni UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI kumbe UKAWA sio Mtu Ni umoja tena sio wa kiongozi fulani ni Umoja wa wananchi wanaoitaji katiba mpya!!!Kumbe UKAWA ni sisi wenyewe wananchi tukiwa na Umoja wa kuitaji katiba mpya!!!Kumbe sisi wenyewe wananchi tunaweza kuiongoza kwa Umoja!!!!Tuliwaamini hao waliondoka kwakuwa walikuwa upande wetu wananchi wa kuitaji katiba mpya!!!!Je kwa kuondoka kwao,Kumeondoa uhitaji wetu wa katiba mpya ambayo Ndiyo inayotengeneza mfumo mpya nje ya huu mfumo mbovu wa ccm uliopo sasa!!!!Ndio maana Wananchi tumeshikamana kwa Umoja kuitetea Ukawa bila kuangalia nani anaondoka kati yetu!!!!Wananchi ndo sisi wenyewe yaani Nguvu ya Umma,ambao tunaowezo wa kufanya chochote tunachokiitaji!!!!Kwani hata hao Viongozi waliondoka Ukawa wasingeweza kufanya lolote bila kutegemea Nguvu yetu!!!!Kumbe Uwezo tunao oooh tusivunjwe moyo na Dr slaa wala Lipumba Kuachana na Ukawa!!!
Solution walishazileta wananchi kupitia maoni waliyoyatoa kwenye tume ya warioba kuleta katiba mpya ambayo ndio imekataliwa na kupingwa na ccm!Maanake hawako tayari kuubadili mfumo wao ndio maana wamepuuza maoni ya wananchi !!!!Ndio maana tunaihitaji kumpitisha mtu yeyote wa UKAWA maana ndio wasimamizi wa haya maoni yetu tuliyoyatoa kwenye tume ya Warioba!!!Ndio maana ninawashangaa watu wanaokazana na huyu kaondoka ukawa au huyu kajiuzulu ukawa!!Ilimradi ukawa yenyewe ipo ,tutampitisha yeyote wa Ukawa ili tu maoni yetu kuhusu mfumo tunaoutaka tuipate!!!!Swala sio mtu bali ni mfumo

Ndio maana hata kama mnamuona huyu mgombea wa Ukawa hafai ni fisadi ilimradi yupo kwenye mfumo utakaopitisha haya maoni ya wananchi yaani katiba pendekezi ya warioba basi mfumo utamuongoza jinsi ya kuenenda!mfano mdogo!Miongoni mwa mambo yaliyo katiba hiyo ambayo kama tukiwapa ukawa wataipitisha ni Kuondoa mamlaka kubwa inayokuwa nayo rais hivyo itatufungulia nguvu sisi wananchi kuweza kumshitaki raisi pindi akiwa madarakani au na baada ya kutoka madarakani kama ikiwa tutagundua ametufisadi kweli!!!!Hivyo kama Lowassa ni fisadi tutaweza kumshitaki kupitia katiba watakayoipitisha
 
KUNA KITU KIMEFICHIKA NYUMA KWA DR SLAA KUACHANA NA SIASA
Dr slaa kwa mtu anayefikiria sana utagundua bila shaka labda alitaka nafasi hiyo ya kugombea kupitia ukawa awe yeye!Ila asidai eti amekasirika kwa kuona Chadema wamekubali kumpokea Lowasa eti kwakuwa walishawai kumkashifu kuwa fisadi!Tumuulize je huyu huyu dr slaa hajawai kuvikashifu vyama vingine vya upinzani kuwa havifai kwenye kampeni zake 2010?Je ni kwanini alikubali kuungana na kuingia ukawa yaani na vyama vile vya upinzani alivyowahi kuvikashifu?Utaona hoja yake ni dhaifu,kuna kitu nyuma kimefichika!Kama aliungana na ukawa ,angekubali kuunganana lowassa.Hatupaswi kusikiliza kelele za ccm wanatuhoji kwanini tumempokea lowassa!Tuwajibu pilipili usizozila zakuwashia nini,?sisi tuendelee na mambo yetu
 
Wewe una uchunguna nini?ccm kutikiswa?bado subiri.mapambano bado .ikifika september15 ndipo utaona mambo.wizara ya mali asili na utalii iharakishe mchakato wa kupanua makumbusho ya taifa,vizazi vijavyo visikose masimulizi kuwa hapo kale kulikuwepo ns chama kilichoitwa ccm,chama kilichowaibia wananchi wake.
 
Acha uchizi,aliyekuambia Dr Slaa kaacha siasa nani?
Dr Slaa bado ni katibu mkuu wa chama chetu na sasa yupi mapumziko mafupi.
Kale malimaooo
 
KUNA KITU KIMEFICHIKA NYUMA KWA DR SLAA KUACHANA NA SIASA
Dr slaa kwa mtu anayefikiria sana utagundua bila shaka labda alitaka nafasi hiyo ya kugombea kupitia ukawa awe yeye!Ila asidai eti amekasirika kwa kuona Chadema wamekubali kumpokea Lowasa eti kwakuwa walishawai kumkashifu kuwa fisadi!Tumuulize je huyu huyu dr slaa hajawai kuvikashifu vyama vingine vya upinzani kuwa havifai kwenye kampeni zake 2010?Je ni kwanini alikubali kuungana na kuingia ukawa yaani na vyama vile vya upinzani alivyowahi kuvikashifu?Utaona hoja yake ni dhaifu,kuna kitu nyuma kimefichika!Kama aliungana na ukawa ,angekubali kuunganana lowassa.Hatupaswi kusikiliza kelele za ccm wanatuhoji kwanini tumempokea lowassa!Tuwajibu pilipili usizozila zakuwashia nini,?sisi tuendelee na mambo yetu

Sijawai ona mnyakyusa mtukuza wachaga kama wewe,
Wanyaki sio waganga njaa kiasi icho,
madudu yaliyofanywa na Mbowe yako wazi kabisa lakini wewe unakejeli msimamo wa Slaa, unaupuuza eti,
Si bule labda kweli El kawanunua kwa 10b.
 
Alitaka Urais na alishaanza kufanya mazoezi ya Urais na wazee wa Pwani walishampa sijui uchifu,sijui.unini.alishajihakikishia Urais.Nia yake Dr Slaa sio mabadiliko shida yake ni Urais tu.Na katika hali ya kawaida Urais ilikuwa ngumu dr Slaa kushinda
 
Kazi ya Dr. Slaa alishaifanya kiukamilifu, kwasasa amepumzika akijiandaa na kutimiza malengo mengine. Kuna watu humu wanajifanya ni mke wake kwa kumuongelea taarifa zake. Muacheni mzee wa watu apumzike ili aweze kujipanga kwa mambo mengine vizuri zaidi.
 
Dr slaa hajakataa Lowasa kwenda ukawa.Tuanzie hapo kwanza.
 
KUNA KITU KIMEFICHIKA NYUMA KWA DR SLAA KUACHANA NA SIASA
Dr slaa kwa mtu anayefikiria sana utagundua bila shaka labda alitaka nafasi hiyo ya kugombea kupitia ukawa awe yeye!Ila asidai eti amekasirika kwa kuona Chadema wamekubali kumpokea Lowasa eti kwakuwa walishawai kumkashifu kuwa fisadi!Tumuulize je huyu huyu dr slaa hajawai kuvikashifu vyama vingine vya upinzani kuwa havifai kwenye kampeni zake 2010?Je ni kwanini alikubali kuungana na kuingia ukawa yaani na vyama vile vya upinzani alivyowahi kuvikashifu?Utaona hoja yake ni dhaifu,kuna kitu nyuma kimefichika!Kama aliungana na ukawa ,angekubali kuunganana lowassa.Hatupaswi kusikiliza kelele za ccm wanatuhoji kwanini tumempokea lowassa!Tuwajibu pilipili usizozila zakuwashia nini,?sisi tuendelee na mambo yetu

Hizo ni hisia zako lakini mwenye jibu sahihi ni mhusika mwenyewe, hivyo huwezi hukumu kwa hisia.
 
Sijawai ona mnyakyusa mtukuza wachaga kama wewe,
Wanyaki sio waganga njaa kiasi icho,
madudu yaliyofanywa na Mbowe yako wazi kabisa lakini wewe unakejeli msimamo wa Slaa, unaupuuza eti,
Si bule labda kweli El kawanunua kwa 10b.

Andersy umenena ni jambo la kusikitisha kuona watu wanashabikia kitu wasichokijua na kuwadhalilisha watu makin wafanyabishara kama mbowe na lowasa hawaaminiki
 
KUNA KITU KIMEFICHIKA NYUMA KWA DR SLAA KUACHANA NA SIASA
Dr slaa kwa mtu anayefikiria sana utagundua bila shaka labda alitaka nafasi hiyo ya kugombea kupitia ukawa awe yeye!Ila asidai eti amekasirika kwa kuona Chadema wamekubali kumpokea Lowasa eti kwakuwa walishawai kumkashifu kuwa fisadi!Tumuulize je huyu huyu dr slaa hajawai kuvikashifu vyama vingine vya upinzani kuwa havifai kwenye kampeni zake 2010?Je ni kwanini alikubali kuungana na kuingia ukawa yaani na vyama vile vya upinzani alivyowahi kuvikashifu?Utaona hoja yake ni dhaifu,kuna kitu nyuma kimefichika!Kama aliungana na ukawa ,angekubali kuunganana lowassa.Hatupaswi kusikiliza kelele za ccm wanatuhoji kwanini tumempokea lowassa!Tuwajibu pilipili usizozila zakuwashia nini,?sisi tuendelee na mambo yetu
hilo tamko la Dr Slaa umelitoa wapi ?
 
Back
Top Bottom