johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,522
Najua CCM wanayo kamati ya maadili kikatiba sasa nauliza tu kwa anayejua kama chadema wanayo pia? Angalizo: hii ni tofauti na 'kitengo' maana hili neno Kingunge kalitoa pale ubungo stand alipokuwa anakusanya ushuru.
Pale ndio pana kitengo kisicho rasmi kinachoratibu wapigadebe wa DSM yote na kufanya maamuzi yakiwemo kuratibu migomo ya drivers. Mimi naulizia kamati rasmi inayotambuliwa kazi zake kikatiba!
Jibu kwa upole bila mapovu!!
Pale ndio pana kitengo kisicho rasmi kinachoratibu wapigadebe wa DSM yote na kufanya maamuzi yakiwemo kuratibu migomo ya drivers. Mimi naulizia kamati rasmi inayotambuliwa kazi zake kikatiba!
Jibu kwa upole bila mapovu!!