Chadema kupokea ruzuku siyo dhambi!Unaposema kina Halima wanazidi kupata uhalali wa kwenda bungeni unajidanganya, wale ni wakaidi hawakuheshimu maamuzi ya vikao halali vya chama chao, kama kwako hili sio kosa una matatizo.
Kusema viongozi Chadema wanawapiga chenga waandishi wa habari sio sababu ya wewe kuamini hizo taarifa za Mwananchi, bado Chadema wanaweza kulitolea ufafanuzi hilo jambo ukabaki mdomo wazi, punguza presha.
Subirini taarifa rasmi kama wakitoa tuthibitishe, mbona mna haraka sana, why pressure?!Chadema kupokea ruzuku siyo dhambi!
Chadema haitoagi taarifa za fedha!Subirini taarifa rasmi kama wakitoa tuthibitishe, mbona mna haraka sana, why pressure?!
Kumbe mnawategemea sana Chadema kuhalalisha ule utapeli mliofanya kwenye uchaguzi mkuu uliopita, mnaweweseka sana.
CAG huwa anakagua nin mpaka awape Chadema hati safi? rangi zao za ngozi au?!Chadema haitoagi taarifa za fedha!
Kama walishindwa ACT wazalendo ujue Chadema ndio bure kabisa!CDM watakuwa wa kwanza kukataa
ww unatakaje??Naomba kujua je washaabiki na wanachama wa CHADEMA ni vigeugeu au mandumilakuwili?
Kwanini nauliza hivi...ACT Wazalendo walipokubali kujiunga SUKI, walitoa utetezi kuwa sio hisani bali ni ipo kisheria na kikatiba. CHADEMA waliwashambulia sana,
Juzi kuna taarifa zimetoka CHADEMA inapokea ruzuku.
Gazeti la mwananchi lilipowatafuta viongozi wa CHADEMA watolee maelezo , wamepiga chenga,
Huku mitandaoni hasa JF wafuasi wa CHADEMA utetezi wao ni ule ule kama wa ACT, kuwa ruzuku sio hisani bali ipo kikatiba, kifupi wamerudia kulamba matapishi yao . Fatilia kashfa, matusi ,kejeri walizotupiwa ACT baada ya kujiunga SUKI, kutoka kwa wanachama,mashabiki, na viongozi wa CHADEMA kwenda kwa ACT,
Huko TWITTER sijaona cha KIGOGO2014, wala Maria Sarungi, wala shangazi, wala HECHE, wakizungumzia CHADEMA kupokea RUZUKU ya mil 100+ inayotokana na uchaguzi walioukataa,
Kwa staili hiyo, wale kina Halima na wenzake 18 wanazidi kupata uhalali wa kwenda bungeni na itaonekena walionewa, maana UCHAGUZI kumbe ulikuwa halali, kwani why mchukue hela zitokanazo na uchaguzi mlioukataa?
Niishie hapa.
Vijana wa uvccm mnajiaibisha sana, ungeuliza kwanza vigezo vinavyotumika kutoa ruzuku kwa vyama kabla hujaleta uharo wako jukwaaniNaomba kujua je washaabiki na wanachama wa CHADEMA ni vigeugeu au mandumilakuwili?
Kwanini nauliza hivi...ACT Wazalendo walipokubali kujiunga SUKI, walitoa utetezi kuwa sio hisani bali ni ipo kisheria na kikatiba. CHADEMA waliwashambulia sana,
Juzi kuna taarifa zimetoka CHADEMA inapokea ruzuku.
Gazeti la mwananchi lilipowatafuta viongozi wa CHADEMA watolee maelezo , wamepiga chenga,
Huku mitandaoni hasa JF wafuasi wa CHADEMA utetezi wao ni ule ule kama wa ACT, kuwa ruzuku sio hisani bali ipo kikatiba, kifupi wamerudia kulamba matapishi yao . Fatilia kashfa, matusi ,kejeri walizotupiwa ACT baada ya kujiunga SUKI, kutoka kwa wanachama,mashabiki, na viongozi wa CHADEMA kwenda kwa ACT,
Huko TWITTER sijaona cha KIGOGO2014, wala Maria Sarungi, wala shangazi, wala HECHE, wakizungumzia CHADEMA kupokea RUZUKU ya mil 100+ inayotokana na uchaguzi walioukataa,
Kwa staili hiyo, wale kina Halima na wenzake 18 wanazidi kupata uhalali wa kwenda bungeni na itaonekena walionewa, maana UCHAGUZI kumbe ulikuwa halali, kwani why mchukue hela zitokanazo na uchaguzi mlioukataa?
Niishie hapa.
kwani nimesema sijui vigezo...kwa taarifa sasa kura za uraisi na ubunge na udiwani ndio zinaamua ruzuku, haya tuambie uchaguzi ni batili ila hela zitokanazo na hiyo batili ni halali?Vijana wa uvccm mnajiaibisha sana, ungeuliza kwanza vigezo vinavyotumika kutoa ruzuku kwa vyama kabla hujaleta uharo wako jukwaani
Hahaha we jamaa cdm inakutesa sana pole mkuu ndio chama pendwa kwa wananchi walio wengi kwa sasa inabidi uzoee tu, act hao wametoka kwenye siasa za ushindani kitambo na huu ndio mwisho wao bara na visiwani CHADEMA TO THE WOULD.Kama walishindwa ACT wazalendo ujue Chadema ndio bure kabisa!
Hahahaaaa........!Hahaha we jamaa cdm inakutesa sana pole mkuu ndio chama pendwa kwa wananchi walio wengi kwa sasa inabidi uzoee tu, act hao wametoka kwenye siasa za ushindani kitambo na huu ndio mwisho wao bara na visiwani CHADEMA TO THE WOULD.
ACT kujiunga SUKI wametoka ktk siasa za kiushindani, ila chadema kulamba ruzuku za huo huo uchaguzi batili wanaendelea kuwepo kwenye ushindani?Hahaha we jamaa cdm inakutesa sana pole mkuu ndio chama pendwa kwa wananchi walio wengi kwa sasa inabidi uzoee tu, act hao wametoka kwenye siasa za ushindani kitambo na huu ndio mwisho wao bara na visiwani CHADEMA TO THE WOULD.
Huijui CDM wewe,hasa linapokuja swala la PESAUnaposema kina Halima wanazidi kupata uhalali wa kwenda bungeni unajidanganya, wale ni wakaidi hawakuheshimu maamuzi ya vikao halali vya chama chao, kama kwako hili sio kosa una matatizo.
Na kusema viongozi Chadema wanawapiga chenga waandishi wa habari sio sababu ya wewe kuamini hizo taarifa za Mwananchi, bado Chadema wanaweza kulitolea ufafanuzi hilo jambo ukabaki mdomo wazi, punguza presha.
Nilitaka unifahamishe sheria gani ya nchi walio vunja??acheni vigeugeu
Ndumila kuwili ni walio kupatia kwenye mkesha wa mbio za mwengeNaomba kujua je washaabiki na wanachama wa CHADEMA ni vigeugeu au mandumilakuwili?
Kwanini nauliza hivi...ACT Wazalendo walipokubali kujiunga SUKI, walitoa utetezi kuwa sio hisani bali ni ipo kisheria na kikatiba. CHADEMA waliwashambulia sana,
Juzi kuna taarifa zimetoka CHADEMA inapokea ruzuku.
Gazeti la mwananchi lilipowatafuta viongozi wa CHADEMA watolee maelezo , wamepiga chenga,
Huku mitandaoni hasa JF wafuasi wa CHADEMA utetezi wao ni ule ule kama wa ACT, kuwa ruzuku sio hisani bali ipo kikatiba, kifupi wamerudia kulamba matapishi yao . Fatilia kashfa, matusi ,kejeri walizotupiwa ACT baada ya kujiunga SUKI, kutoka kwa wanachama,mashabiki, na viongozi wa CHADEMA kwenda kwa ACT,
Huko TWITTER sijaona cha KIGOGO2014, wala Maria Sarungi, wala shangazi, wala HECHE, wakizungumzia CHADEMA kupokea RUZUKU ya mil 100+ inayotokana na uchaguzi walioukataa,
Kwa staili hiyo, wale kina Halima na wenzake 18 wanazidi kupata uhalali wa kwenda bungeni na itaonekena walionewa, maana UCHAGUZI kumbe ulikuwa halali, kwani why mchukue hela zitokanazo na uchaguzi mlioukataa?
Niishie hapa.