korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,004
- 659
Je, dawa ya cetrizine inafaa kutumia kwa Mjamzito?
Nina mafua makali na kichwa kinanigonga sana! sijajua dawa gani naweza kunywa.
Natanguliza shukrani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mafua makali na kichwa kinanigonga sana! sijajua dawa gani naweza kunywa.
Natanguliza shukrani!
Sent using Jamii Forums mobile app