Je, Bunge la Ndugai halijui kanuni za natural justice?

GODZILLA

JF-Expert Member
Dec 26, 2014
5,902
10,503
Bunge, licha ya majukumu yake ya kimuhimili, pia lina mamlaka ya kiutawala (administrative functions).

Mamlaka ya kiutawala hutumika kusimamia mienendo ya bunge, maadili, haki na wajibu wake!

Kama zilivyo administrative bodies zingine, bunge linapotumia mamlaka yake ya kiutawala katika kuamua migogoro na haki za mienendo ya kibunge (quasi judicial functions) lina wajibu wa KUSIKILIZA wahanga wa migogoro au haki hizo.

Maamuzi yoyote yale ambayo hayakuzingatia natural justice ya KUSIKILIZWA ni maamuzi batili.

Kama ndugu Lissu ataamua kudai haki yake mahakamani ya kuvuliwa ubunge bila kuhojiwa wala kusikilizwa, kuna uwezekano mkubwa mahakama ITABATILISHA uamuzi wa Spika Ndugai kwasababu mchakato wote alioutumia spika ni BATILI na yote yaliyofanyika juu ya uamuzi huo ni BATILI.

Nilitegemea Ndugai angekuwa na ufahamu wa vitu vya msingi kama hivi lakini kumbe hatambui lolote!
 
Bunge, licha ya majukumu yake ya kimuhimili, pia lina mamlaka ya kiutawala (administrative functions).

Mamlaka ya kiutawala hutumika kusimamia mienendo ya bunge, maadili, haki na wajibu wake!

Kama zilivyo administrative bodies zingine, bunge linapotumia mamlaka yake ya kiutawala katika kuamua migogoro na haki za mienendo ya kibunge (quasi judicial functions) lina wajibu wa KUSIKILIZA wahanga wa migogoro au haki hizo.

Maamuzi yoyote yale ambayo hayakuzingatia natural justice ya KUSIKILIZWA ni maamuzi batili.

Kama Ndugu Lissu ataamua kudai haki yake mahakamani ya kuvuliwa ubunge bila kuhojiwa wala kusikilizwa, mahakama ITABATILISHA uamuzi wa Spika Ndugai kwasababu mchakato wote alioutumia spika ni BATILI na yote yaliyofanyika juu ya uamuzi huo ni BATILI.

Nilitegemea Ndugai angekuwa na ufahamu wa vitu vya msingi kama hivi lakini kumbe hatambui lolote!
katika watu wote wewe tu ndio umeandika sense!
The principle of natural justice or fairness is the sine qua non of a democratic government.

Principles of natural justice includes:

(a) Rule against bias: Bias may include:

(i) Personal Bias; (ii) Pecuniary Bias ; (iii) Subject-matter Bias; (iv) Departmental Bias; (v) Preconceived notion bias.

(b) Rule of audi alteram Partem: This right to fair hearing includes:

(i) Right to know adverse evidence; (ii) Right to present case; (iii) Right to rebut evidence; (iv) Right to cross-examination and legal re presentation; (v) Right to reasoned decision, etc.

(c) Reasoned Decision

‘Bias’ means an operative prejudice, whether conscious or unconscious, in relation to a party or issue. [1] This is the idea that the judge may well have “strong views” or “preconceived ideas” concerning the case before them.



PRINCIPLES OF NATURAL JUSTICE
Natural Justice does not have a straight jacket formula while it has a myriad of interpretations at various circumstances as aforementioned. The traditional English Law recognizes two principles of natural justice:

  1. Nemo debet esse Judex in propria causa: No man shall be a judge in his own cause, or no man can act as both at the one and the same time. A party or a suitor and also a judge or the deciding authority must be impartial and without bias; and
  2. Audi alteram partem: Hear the other side, or both the sides must be heard, or no man should be condemned unheard, or that there must be fairness on the part of the deciding authority.
 
Bunge, licha ya majukumu yake ya kimuhimili, pia lina mamlaka ya kiutawala (administrative functions).

Mamlaka ya kiutawala hutumika kusimamia mienendo ya bunge, maadili, haki na wajibu wake!

Kama zilivyo administrative bodies zingine, bunge linapotumia mamlaka yake ya kiutawala katika kuamua migogoro na haki za mienendo ya kibunge (quasi judicial functions) lina wajibu wa KUSIKILIZA wahanga wa migogoro au haki hizo.

Maamuzi yoyote yale ambayo hayakuzingatia natural justice ya KUSIKILIZWA ni maamuzi batili.

Kama Ndugu Lissu ataamua kudai haki yake mahakamani ya kuvuliwa ubunge bila kuhojiwa wala kusikilizwa, mahakama ITABATILISHA uamuzi wa Spika Ndugai kwasababu mchakato wote alioutumia spika ni BATILI na yote yaliyofanyika juu ya uamuzi huo ni BATILI.

Nilitegemea Ndugai angekuwa na ufahamu wa vitu vya msingi kama hivi lakini kumbe hatambui lolote!
Mkuu unapoteza muda wako kumuongelea hamnazo kama Ndu-guy!

Kama mahakama haitaingiliwa (maana kuna baadhi ya mahakimu ni punguani zaidi hata ya Ndu-guy) then basi lazima ipanguliwe!

Yaani huyu jamaa kaingia kwenye historia ya best hamnazo kutokea kwenye hii banana republic!
 
katika watu wote wewe tu ndio umeandika sense!
The principle of natural justice or fairness is the sine qua non of a democratic government.

Principles of natural justice includes:

(a) Rule against bias: Bias may include:

(i) Personal Bias; (ii) Pecuniary Bias ; (iii) Subject-matter Bias; (iv) Departmental Bias; (v) Preconceived notion bias.

(b) Rule of audi alteram Partem: This right to fair hearing includes:

(i) Right to know adverse evidence; (ii) Right to present case; (iii) Right to rebut evidence; (iv) Right to cross-examination and legal re presentation; (v) Right to reasoned decision, etc.

(c) Reasoned Decision

‘Bias’ means an operative prejudice, whether conscious or unconscious, in relation to a party or issue. [1] This is the idea that the judge may well have “strong views” or “preconceived ideas” concerning the case before them.



PRINCIPLES OF NATURAL JUSTICE
Natural Justice does not have a straight jacket formula while it has a myriad of interpretations at various circumstances as aforementioned. The traditional English Law recognizes two principles of natural justice:

  1. Nemo debet esse Judex in propria causa: No man shall be a judge in his own cause, or no man can act as both at the one and the same time. A party or a suitor and also a judge or the deciding authority must be impartial and without bias; and
  2. Audi alteram partem: Hear the other side, or both the sides must be heard, or no man should be condemned unheard, or that there must be fairness on the part of the deciding authority.
Umefafanua vizuri sana.

Hivi vitu Ndugai havitambui kabisa.

They are calling for election on an absolute nullity.
 
Mkuu unapoteza muda wako kumuongelea hamnazo kama Ndu-guy!

Kama mahakama haitaingiliwa (maana kuna baadhi ya mahakimu ni punguani zaidi hata ya Ndu-guy) then basi lazima ipanguliwe!

Yaani huyu jamaa kaingia kwenye historia ya best hamnazo kutokea kwenye hii banana republic!
Huyu ndu-guy inawezekana kabisa hata yeye mwenyewe hafahamu kama amefanya "procedural mistake". Ni mihemko ya kisiasa tu.

Mahakama iko timamu hilo sina hofu nalo. Ni muhimili unaojitambua hauna siasa siasa.
 
It is a procedural impropriety! That itself is pretty enough to quash the whole nullity.
Kuna mtu humu alisema kuwa Mahakama haiwezi kuingilia maamuzi ya Bunge kwa vyovyote vile. Nilimcheka sana. Soma kesi hii.. kama una muda anyway! It seems you are a lawyer!
 

Attachments

  • COURT TO INTERFERE WITH PARLIAMENT PROCEEDINGS.pdf
    1.4 MB · Views: 20
Kuna mtu humu alisema kuwa Mahakama haiwezi kuingilia maamuzi ya Bunge kwa vyovyote vile. Nilimcheka sana. Soma kesi hii.. kama una muda anyway! It seems you are a lawyer!
Nadhani mahakama ndio muhimili uliopendelewa zaidi kuingilia, kutazama, na kusawazisha maamuzi ya mihimili mingine kwa kiasi kikubwa [checking and balancing].

Angalau angesema kinyume kwamba Bunge haliwezi kuingilia mahakama ingeyumkinika zaidi hata kama sio sahihi sana.

Asante kwa kesi, ngoja niongeze maarifa!
 
Bunge, licha ya majukumu yake ya kimuhimili, pia lina mamlaka ya kiutawala (administrative functions).

Mamlaka ya kiutawala hutumika kusimamia mienendo ya bunge, maadili, haki na wajibu wake!

Kama zilivyo administrative bodies zingine, bunge linapotumia mamlaka yake ya kiutawala katika kuamua migogoro na haki za mienendo ya kibunge (quasi judicial functions) lina wajibu wa KUSIKILIZA wahanga wa migogoro au haki hizo.

Maamuzi yoyote yale ambayo hayakuzingatia natural justice ya KUSIKILIZWA ni maamuzi batili.

Kama Ndugu Lissu ataamua kudai haki yake mahakamani ya kuvuliwa ubunge bila kuhojiwa wala kusikilizwa, mahakama ITABATILISHA uamuzi wa Spika Ndugai kwasababu mchakato wote alioutumia spika ni BATILI na yote yaliyofanyika juu ya uamuzi huo ni BATILI.

Nilitegemea Ndugai angekuwa na ufahamu wa vitu vya msingi kama hivi lakini kumbe hatambui lolote!
Unajua kwamba ofisi ya bunge ilipotaka kujua kuhusu matibabu yake,Lisu mwenyewe alisema haina haja ya bunge kufahamu kuhusu matibabu yake kwakua ali mlipii matibabu yake na pesa alizolipwa na bunge si za matibabu ila madai yake mbali mbali. Sasa mwajili anakuuliza unamwambia hauna haki ya kufahamu alafu wewe mleta mada unaulizia natural justice ipi?
 
Unajua kwamba ofisi ya bunge ilipotaka kujua kuhusu matibabu yake,Lisu mwenyewe alisema haina haja ya bunge kufahamu kuhusu matibabu yake kwakua ali mlipii matibabu yake na pesa alizolipwa na bunge si za matibabu ila madai yake mbali mbali. Sasa mwajili anakuuliza unamwambia hauna haki ya kufahamu alafu wewe mleta mada unaulizia natural justice ipi?
hujui kitu! Ignore please
 
Vyovyote viwavyo!

Hiyo haimpi Ndugai uhalali wa kumvua Lissu ubunge bila KUMSIKILIZA.
Ukisema Ndugai unakosea, Job Ndugai hana uwezo wa kumtimua Lisu, ila Bunge linalo ongozwa na Spika Ndugai tena likitumia kanuni, taratibu za kibunge na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Ukisema Ndugai unakosea, Job Ndugai hana uwezo wa kumtimua Lisu, ila Bunge linalo ongozwa na Spika Ndugai tena likitumia kanuni, taratibu za kibunge na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wacha porojo bwana wewe!
 
Bunge, licha ya majukumu yake ya kimuhimili, pia lina mamlaka ya kiutawala (administrative functions).

Mamlaka ya kiutawala hutumika kusimamia mienendo ya bunge, maadili, haki na wajibu wake!

Kama zilivyo administrative bodies zingine, bunge linapotumia mamlaka yake ya kiutawala katika kuamua migogoro na haki za mienendo ya kibunge (quasi judicial functions) lina wajibu wa KUSIKILIZA wahanga wa migogoro au haki hizo.

Maamuzi yoyote yale ambayo hayakuzingatia natural justice ya KUSIKILIZWA ni maamuzi batili.

Kama Ndugu Lissu ataamua kudai haki yake mahakamani ya kuvuliwa ubunge bila kuhojiwa wala kusikilizwa, mahakama ITABATILISHA uamuzi wa Spika Ndugai kwasababu mchakato wote alioutumia spika ni BATILI na yote yaliyofanyika juu ya uamuzi huo ni BATILI.

Nilitegemea Ndugai angekuwa na ufahamu wa vitu vya msingi kama hivi lakini kumbe hatambui lolote!
Unalizungumzia hili BUNGE DHAIFU linaloongozwa na yule mgonjwa DHAIFU aliyekatwa vidole vya miguuni kwa dola milioni 12? Labda kama unazungumzia bunge lenye akili kama la Kenya lakini si hili la mheshimiwa DHAIFU SANA!
 
Sio kwamba hajui anajua na ipo kabisa ila anatumika vibaya ni aibu kabisa kuwa na mtu ka ndungai ajirekebishe angalau heshima yake irudi kidogo.

Hata mahakamani Kuna natural justice ndio maana unapewa nafasi ya kujieleza hata kama wanajua umefanya kosa lakin bado unapewa nafasi ya kujieleza then mahakama inaweza kukufutia ama kukupunguzia adhabu.
 
Bunge, licha ya majukumu yake ya kimuhimili, pia lina mamlaka ya kiutawala (administrative functions).

Mamlaka ya kiutawala hutumika kusimamia mienendo ya bunge, maadili, haki na wajibu wake!

Kama zilivyo administrative bodies zingine, bunge linapotumia mamlaka yake ya kiutawala katika kuamua migogoro na haki za mienendo ya kibunge (quasi judicial functions) lina wajibu wa KUSIKILIZA wahanga wa migogoro au haki hizo.

Maamuzi yoyote yale ambayo hayakuzingatia natural justice ya KUSIKILIZWA ni maamuzi batili.

Kama Ndugu Lissu ataamua kudai haki yake mahakamani ya kuvuliwa ubunge bila kuhojiwa wala kusikilizwa, kuna uwezekano mkubwa mahakama ITABATILISHA uamuzi wa Spika Ndugai kwasababu mchakato wote alioutumia spika ni BATILI na yote yaliyofanyika juu ya uamuzi huo ni BATILI.

Nilitegemea Ndugai angekuwa na ufahamu wa vitu vya msingi kama hivi lakini kumbe hatambui lolote!
Nadhani akilishtaki bunge la ndugai itakuwa vema, ila bunge la jamuhuri ya Tanzania utaratibu umefuatwa na hautaingiliwa na mhimili mwingine kuingiza taratibu zisizo kuwepo isipokuwa kama limekosea taratibu zake zilizopo.
 
Back
Top Bottom