GEE2PATEL
Senior Member
- Oct 24, 2018
- 139
- 293
ONDOA MASLAHI BINAFSI (CONFLICT OF INTEREST) UJIBU HAYA MASWALI 6 KWA UFASAHA
Hatimaye Lissu kamaliza awamu ya kwanza ya ziara yake.
1. PAMOJA NA KUIAMBIA DUNIA KUWA TANZANIA SIYO SALAMA
_ JE, Watalii wameacha kuja Tz?_
2. PAMOJA NA KUIAMBIA JUMUIA YA ULAYA (MABEBERU) KWAMBA TANZANIA HAKUNA DEMOKRASIA
Je wadau wa maendeleo wamesimamisha misaada kwa Tanzania?
3. PAMOJA NA LISSU KUISHITAKI TANZANIA KWA SHUTUMA ZA UONGO NCHINI MAREKANI KWAMBA RAIAWANATESWA NA SERIKALI IKIWA NI PAMOJA NA KUUAWA ONYO
Je, Marekani kupitia Congress na Senate imeachana na vipaumbele vyake kama Government shutdown, ukuta katikz mpaka wa Mongolia, Kessi ya udukuzi dhidi ya Urusi, mahusiano na Iran na Korea, Kujitoa katika vita ya Syria?
4. BAADA YA LISSU KUINANGA TANZANIA KWA JUMUIA YA ULAYA KUHUSU SHERIA INAYOKATAZA USHOGA NA NDOA ZA JINSIA MOJA KWAMBA NI KANDAMIZI, NA KUAHIDI KUIFUTA SHERIA HIYO ENDAPO ATAKUWA RAIS
Je, Bunge la Jumuia ya Ulaya limeweka kando agenda zake muhimu kama BREXIT kusikiliza kilio cha Lissu?
5. JE BAADA YA LISSU KUWADANGANYA MABEBERU KUWA KIONGOZI WA UPINZANI NCHINI TZ, , MH. MBOWE KAFUNGWA GEREZANI BILA KOSA
Je, kuna msaada amepata kutoka kwa mabeberu kumuondoa Mbowe gerezani na kuiondoa serikali Madarakani?
6. JE BAADA YA LISSU KUJITETEA KUWA USHAHIDI WAKE NA DEREVA SIYO MUHIMU KATIKA UPEKEKEZIVWA TUKIO LA KUSHAMVULIWA KWAKE, KWA KISINGIZIO KUWA INGEKUWAJE ENDAPO WANGEKUFA
Je wazo na jibu la kisheria (la Wilson Masilingi Balozi) kuwa hujafa, halitoshelezi msimamo wa polisi kusisitiza Lissu kurudi ahohiwe?
JAMANI OFISI YA CHAMA CHAKO IKIWA KARIBU NA SEHEM FULANI USICHUKUE TABIA ZA MAENEO HAYO, NAIKUMBUKA MANYANYA IKO KARIBU NA UFIPA
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Hatimaye Lissu kamaliza awamu ya kwanza ya ziara yake.
1. PAMOJA NA KUIAMBIA DUNIA KUWA TANZANIA SIYO SALAMA
_ JE, Watalii wameacha kuja Tz?_
2. PAMOJA NA KUIAMBIA JUMUIA YA ULAYA (MABEBERU) KWAMBA TANZANIA HAKUNA DEMOKRASIA
Je wadau wa maendeleo wamesimamisha misaada kwa Tanzania?
3. PAMOJA NA LISSU KUISHITAKI TANZANIA KWA SHUTUMA ZA UONGO NCHINI MAREKANI KWAMBA RAIAWANATESWA NA SERIKALI IKIWA NI PAMOJA NA KUUAWA ONYO
Je, Marekani kupitia Congress na Senate imeachana na vipaumbele vyake kama Government shutdown, ukuta katikz mpaka wa Mongolia, Kessi ya udukuzi dhidi ya Urusi, mahusiano na Iran na Korea, Kujitoa katika vita ya Syria?
4. BAADA YA LISSU KUINANGA TANZANIA KWA JUMUIA YA ULAYA KUHUSU SHERIA INAYOKATAZA USHOGA NA NDOA ZA JINSIA MOJA KWAMBA NI KANDAMIZI, NA KUAHIDI KUIFUTA SHERIA HIYO ENDAPO ATAKUWA RAIS
Je, Bunge la Jumuia ya Ulaya limeweka kando agenda zake muhimu kama BREXIT kusikiliza kilio cha Lissu?
5. JE BAADA YA LISSU KUWADANGANYA MABEBERU KUWA KIONGOZI WA UPINZANI NCHINI TZ, , MH. MBOWE KAFUNGWA GEREZANI BILA KOSA
Je, kuna msaada amepata kutoka kwa mabeberu kumuondoa Mbowe gerezani na kuiondoa serikali Madarakani?
6. JE BAADA YA LISSU KUJITETEA KUWA USHAHIDI WAKE NA DEREVA SIYO MUHIMU KATIKA UPEKEKEZIVWA TUKIO LA KUSHAMVULIWA KWAKE, KWA KISINGIZIO KUWA INGEKUWAJE ENDAPO WANGEKUFA
Je wazo na jibu la kisheria (la Wilson Masilingi Balozi) kuwa hujafa, halitoshelezi msimamo wa polisi kusisitiza Lissu kurudi ahohiwe?
JAMANI OFISI YA CHAMA CHAKO IKIWA KARIBU NA SEHEM FULANI USICHUKUE TABIA ZA MAENEO HAYO, NAIKUMBUKA MANYANYA IKO KARIBU NA UFIPA
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL