JE BAADA YA MIAKA 10 IJAYO HALI ITAKUWAJE?

JE BAADA YA MIAKA 10 IJAYO HALI ITAKUWAJE?

Uta Uta

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2016
Posts
3,740
Reaction score
8,765
Habari wanajamvi
Hivi sasa kumekuwa na malalamiko makubwa sana ya upotevu wa nguvu za kiume na hii kupelekea kuibuka kwa waganga wengi na dawa za kila aina ila tatizo ndio linazidi kuongezeka. Sasa je katika miaka 10 ijayo akiba (hali) ya nguvu ya kiume nchini itakuwaje?
 
me hua nashangaa sana na sielewi haya mambo yanaendaje.
mwanaume kumwaga ndo starehe ya fainali, sasa tukitumia dawa za kuongeza hizo nguvu, hiyo starehe tutaipata wap tena
 
Back
Top Bottom