Je atapata kozi hii UDSM?

Hata kwa idadi tu, wanaomaliza diploma na kuingia vyuo vikuu huwa wanakua wachache ukilinganisha na wale wa kidato cha sita. Ninaamini hakuna bahati katika hili, ni vigrzo na ushindani ndio vinaamua.
Pointi
 

Asante kwa kunielewa...

Kwa case ya form six leavers ni sahihi sana kuchukua watu wa EGM kwa maana konachoenda kusomwa ni uchumi kilimo, hakuna combination mbadala kwa kweli juu ya hili.

Ila kuhusu diploma, huwa wanachukua aina kama hiyo ya diploma kwa ajili ya kozi za kilimo biashara (am talking from experience na ikifika tarehe 2 October nitakuja na ushahidi ili kuweka kumbukumbu sawa), UDSM huwa wanaandika aina za diploma za wachaguliwa, mwaka Jana kuna vijana wamemaliza animal health and production Chuo cha mifugo Mpwapwa na walichaguliwa kwa kozi hiyo (japokua kuna maswahibu yaliwakuta na hawakujiunga na Chuo).

Na kwa mfumo wa mwaka Jana wa uombaji, ulikua ukiichagua hiyo kozi na ukatanabaisha kwamba wewe ni equivalent applicant ilikua inakuletea orodha ya "relevant diplomas" ambapo zote zilikua ni za kilimo na inaeleza kwamba ukiwa na diploma let say ya animal production utapewa first priority, diploma ya agriculture general utapewa second priority n.k.

Siku njema
 
Hata kwa idadi tu, wanaomaliza diploma na kuingia vyuo vikuu huwa wanakua wachache ukilinganisha na wale wa kidato cha sita. Ninaamini hakuna bahati katika hili, ni vigrzo na ushindani ndio vinaamua.
Kweli kabisa mkuu
 
Hata kwa idadi tu, wanaomaliza diploma na kuingia vyuo vikuu huwa wanakua wachache ukilinganisha na wale wa kidato cha sita. Ninaamini hakuna bahati katika hili, ni vigrzo na ushindani ndio vinaamua.
mwaka Jana katika kozi ya actuarial diploma walichukuliwa wawili tu, vipi ata kwa upande wa kozi nyingine wale wanaotoka diploma ngumu kupata unakuta kozi inataka watu 200. lakin 150 walichukuliwa form six leavers.
 
Huyo rafiki ako hawezi kuuliza mpaka umuulizie wewe!? Si useme tu kuwa muhusika ni wewe!
 
Huyo rafiki ako hawezi kuuliza mpaka umuulizie wewe!? Si useme tu kuwa muhusika ni wewe!
Sio kila mtu yupo jf mkuu,alafu maisha yanatofautiana sana so si kila mtu anaweza tumia simu itakayomfanya aweze kujoin umu,pia mtu anaweza kukuliza wewe kitu lakin usiwe na majibu ya kutosha so unaweza uliza hata umu jf iliupate majibu then umjibu ili atosheke,pia naami iki kitu kitakua kimewanufaisha wengi ambao labda walitaka kujua diploma ya animal healthy ina relate vipi na iyo degree,mwisho kila mtu anaweza kuwa muhusika kulingana na nafasi yake kama wewe ulivyo uvaa uhusika wakutoa aina ya jibu uloandika apo.
 
Mkuu ahsante kwa mchango wako na ushuri wako pia,mrejesho ni kama ifuatavyo,jamaa amechaguliwa vyuo viwili UDSM course hiyo ya BSC IN AGRICULTURAL AND NATURAL RESOURCES ECONOMY AND BUSINESS na SUA course hiyo BSC IN AGRICULTURAL ECONOMY AND AGRIBUSINESS, so anatakiwa kuconfirm,so kwa kuzingatia ubora wa course,wigo mpana wa kujiajiri au kuajiliwa baada yakuhitimu ni chuo kipi angeenda apo?
 
Huyo mwambie ajiandae tu nashule lazima atachaguliwa.
Uongo..ingekuwa diploma ya general agriculture ingewezekana, achague food science hapo udsm kama lengo lake ni udsm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…