Je, atanifaa kama mke?

Je, atanifaa kama mke?

newbeliever

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2015
Posts
248
Reaction score
48
Hellow

Hili jambo linanitatiza saaaaana
Kuna binti nimefahamiana nae kwa miezi kadhaa sasa, kiufupi tumeshakuwa wapenz rasmi kwa miezi hiyo almost mitano.
Binti ni mzuri saaaana, yuko loyal sana kwangu, ananijali kwa kiasi chake, haniwangishi kichwa yaan sina wasiwasi nae.,tumeshakuwa na mipango ya kuja kuwa mme na mke kama Mungu akijalia!!

Binti yuko tayari hata kunizalia,yaan yuko tayari kwa chochote!!

CHANGAMOTO NI HIZI.
binti kashapitia tabia zote kwangu mi naziona mbaya
- unywaji pombe
- uvutaji ( sigara au bangi )
- kuwa na mahusiano mengi


Kwangu mi hizo changamoto naona labda ni kawaida maana kila mtu ana past yake n na mimi nina past yangu kwake inaweza kuwa mbaya,

Tatizo kubwa ni ana mtoto tayari, ila yeye bado ni mdogo tu (25yrs), alimpata kipindi anasoma secondary.


Nawaza na najiuliza je atanifaa kweli kuwa mke??? Je hizo tabia zake kaacha kweli??? Je kuhusu mtoto hatokuja kutuvuruga??

Nawaza nimuoe hivo hivo? Au nisimuoe? Je nimuacheje na wakati nampenda saana na yeye ananipenda? Sijui nichukue njia gani wakuu

Naombeni ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unampenda na anakupenda muoe, lakini je umejiridhisha mahusiano yake na baba wa mtoto yatakuwaje?
Je utavumilia kuona mkeo akiwasiliana na mzazi mwenzie kuhusu mtoto wao?
Umewaza siku mtoto anaumwa kwa mfano wazazi wakutane kwa ajili ya mtoto au kujadili maswala ya ada ya mtoto?
Ukishafikiria juu ya hayo yote na mengine mengi fanya maamuzi sahihi kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama baba mtoto yupo hai, ukioa utakuwa umeoa mke wa mtu. KE hawezi kuachana na mzazi mwenzie!
 
Hellow

Hili jambo linanitatiza saaaaana
Kuna binti nimefahamiana nae kwa miezi kadhaa sasa, kiufupi tumeshakuwa wapenz rasmi kwa miezi hiyo almost mitano.
Binti ni mzuri saaaana, yuko loyal sana kwangu, ananijali kwa kiasi chake, haniwangishi kichwa yaan sina wasiwasi nae.,tumeshakuwa na mipango ya kuja kuwa mme na mke kama Mungu akijalia!!

Binti yuko tayari hata kunizalia,yaan yuko tayari kwa chochote!!

CHANGAMOTO NI HIZI.
binti kashapitia tabia zote kwangu mi naziona mbaya
- unywaji pombe
- uvutaji ( sigara au bangi )
- kuwa na mahusiano mengi


Kwangu mi hizo changamoto naona labda ni kawaida maana kila mtu ana past yake n na mimi nina past yangu kwake inaweza kuwa mbaya,

Tatizo kubwa ni ana mtoto tayari, ila yeye bado ni mdogo tu (25yrs), alimpata kipindi anasoma secondary.


Nawaza na najiuliza je atanifaa kweli kuwa mke??? Je hizo tabia zake kaacha kweli??? Je kuhusu mtoto hatokuja kutuvuruga??

Nawaza nimuoe hivo hivo? Au nisimuoe? Je nimuacheje na wakati nampenda saana na yeye ananipenda? Sijui nichukue njia gani wakuu

Naombeni ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa kumpenda umpende wewe halafu maamuzi tukufanyie sisi...grow up!!!!wewe kama ni mwanume make ur decision huyo ni mtu unayeenda kuishi nae wewe sisi wewe have nothing to advise zaidi ya kukupiga majungu tu...kwani kuvuta bangi kuna ubaya gani...kama amechange move on na maisha yenu...
 
Ila kuingia kwenye ndo ndo moja bila...mmmhh hapana...there is ni good out of it...
 
Kinachowaunganisha watu wawili na kuwa mume na mke ni UPENDO.
Kama mmependana hizo challenges utaziona normal na sasa ataishi kwa matakwa yako(utakavyompangia).
Ndoa haifungwi kwasababu ya elimu, tabia, pesa,umri wala ukabila bali Upendo.
Kwa tathmini ya haraka unaweza kusema achana naye. Maana mwanamke wa 25 yrs ilikuwaje akawa mlevi na mvuta sigara!
Unapata jibu kuwa alikuwa bar maid au changudoa. But brother forgot about past chamsingi angalia je,kuna Upendo wa dhati?
Huo Upendo wa dhati ndio utakaofukia mashimo yote
 
Kama bado anavuta sigara, pombe..ana mahusiano Mengi...HAFAI HATA PUNJE.



kua namtoto sio inshu kama yalobaki yuko vzuri
 
Hii story kama yangu vile,wa kwangu alkuwa na tabia ya kuwa na mahusiano na watu wazma toka akiwa form one tena wale matajir tu na yupo na mtoto tayar,huwa nashangaa hata ukimwi ilkuwaje akaukosa
 
Siku hiz watu wanatafuta ndoa kwa hali na mali. Inawezekana huyo anapretend ili uingie mtego wa kumuoa. Ukioa tu tabia zote za mwanzo na makucha yote aliyoficha yatachomoza sasa. Kuwa makini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unampenda na anakupenda muoe, lakini je umejiridhisha mahusiano yake na baba wa mtoto yatakuwaje?
Je utavumilia kuona mkeo akiwasiliana na mzazi mwenzie kuhusu mtoto wao?
Umewaza siku mtoto anaumwa kwa mfano wazazi wakutane kwa ajili ya mtoto au kujadili maswala ya ada ya mtoto?
Ukishafikiria juu ya hayo yote na mengine mengi fanya maamuzi sahihi kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mahusiano na baba mtoto sio mazuri ana kama mwaka na point hawajawahi wasiliana.

Na mtoto anaishi kwa bibi. Yasn hapo ndo najiuliza itakuwaje??
 
Sasa kumpenda umpende wewe halafu maamuzi tukufanyie sisi...grow up!!!!wewe kama ni mwanume make ur decision huyo ni mtu unayeenda kuishi nae wewe sisi wewe have nothing to advise zaidi ya kukupiga majungu tu...kwani kuvuta bangi kuna ubaya gani...kama amechange move on na maisha yenu...
mkuu suala la kuvuta sio tatizo kwangu amebadirika sasa hiv na hata ukimuangalia huweji jua kama alikuwa anafanya hivo vitu.

Changamoto ni mtoto. Je mzazi mwenzie hatakuja kukoroga mahusiano yangu?
 
Hii story kama yangu vile,wa kwangu alkuwa na tabia ya kuwa na mahusiano na watu wazma toka akiwa form one tena wale matajir tu na yupo na mtoto tayar,huwa nashangaa hata ukimwi ilkuwaje akaukosa
uko nae sasa hiv mkuu?? Umewezaje? Hakusumbui?
 
mkuu suala la kuvuta sio tatizo kwangu amebadirika sasa hiv na hata ukimuangalia huweji jua kama alikuwa anafanya hivo vitu.

Changamoto ni mtoto. Je mzazi mwenzie hatakuja kukoroga mahusiano yangu?
Kuingia kwenye ndoa moja bila ni tatizo...lakni sijui nyie mmekubaliana vipi..we ingia tu..hata akija kuzingua utakuwa umeshazeeka siyo mbaya hata umri wa kufa uatakuwa tayari umefika
 
mkuu suala la kuvuta sio tatizo kwangu amebadirika sasa hiv na hata ukimuangalia huweji jua kama alikuwa anafanya hivo vitu.

NLIKUWA NATAFUTA POINT YAKO IPO WAPI? (WACWAC)
NMEIPATA SASA. CKIA KAKA MTOTO ASIKUPE SHAKA, KUWA ATAWARUDISHA MCHEZON WAZAZI WAKE. MPZ WAKO KAMA N MWAMINIFU NA ANAKUPENDA HATAKUSALITI.

MWANAMKE MALAYA HATA BILA MTOTO ANAKUSALITI TU. MWANAMKE HAILEWEK KAKA.
Changamoto ni mtoto. Je mzazi mwenzie hatakuja kukoroga mahusiano yangu?
 
Noma kweli
Hellow

Hili jambo linanitatiza saaaaana
Kuna binti nimefahamiana nae kwa miezi kadhaa sasa, kiufupi tumeshakuwa wapenz rasmi kwa miezi hiyo almost mitano.
Binti ni mzuri saaaana, yuko loyal sana kwangu, ananijali kwa kiasi chake, haniwangishi kichwa yaan sina wasiwasi nae.,tumeshakuwa na mipango ya kuja kuwa mme na mke kama Mungu akijalia!!

Binti yuko tayari hata kunizalia,yaan yuko tayari kwa chochote!!

CHANGAMOTO NI HIZI.
binti kashapitia tabia zote kwangu mi naziona mbaya
- unywaji pombe
- uvutaji ( sigara au bangi )
- kuwa na mahusiano mengi


Kwangu mi hizo changamoto naona labda ni kawaida maana kila mtu ana past yake n na mimi nina past yangu kwake inaweza kuwa mbaya,

Tatizo kubwa ni ana mtoto tayari, ila yeye bado ni mdogo tu (25yrs), alimpata kipindi anasoma secondary.


Nawaza na najiuliza je atanifaa kweli kuwa mke??? Je hizo tabia zake kaacha kweli??? Je kuhusu mtoto hatokuja kutuvuruga??

Nawaza nimuoe hivo hivo? Au nisimuoe? Je nimuacheje na wakati nampenda saana na yeye ananipenda? Sijui nichukue njia gani wakuu

Naombeni ushauri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom