Je, atakuwa ananipenda?

He! Nilijua labda alikutafta yeye, Kumbe mlikutana tu!!Amakweli Mapenzi ukiziwi
 
Hupendwi wajipendekeza, na kinachofuatia ni kuanza kuchunwa mpaka ukome
 

Bro huyo hakupendi...ana mtu anayempa kiburi hicho...na atakuwa anakucheki akiwa na shida zake..otherwise anaweza kukuweka spare ili akiachika akukute kwa kasi na akudanganye alikuwa anakupima kama unampenda...da same case has happened to me last year..but nilifunga vioo although alirudi kwa kasi sana kunitafuta...but nilishaambiwa na kuthibitisha kuwa ametemwa na bwanake...so chukua time zako tu mkuu..huyo hakupendi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…