inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,961
- 18,256
we umeona kumnunua mbape ndo kutengeneza timu!!?..man wametumia shingap na msimu huu ndo wameingia top four!!?Kuuuza magalasa na kununua
Galasa la £8 kunatofaut gan hapo
Wangemunua mtu kama mbape hapo sawa ngewaelewa lacazeta ndyo
Huyo hana tofaut na mjinga giroud