Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,673
- 218,182
Hii inajionyesha wazi hasa baada ya timu hiyo kuanza kununua wachezaji wapya kama mchanga , mpaka sasa wachezaji watano wamekwishanunuliwa akiwemo kiungo mahiri Toreirra kutoka Sampdolia ya Italia.
Huku Magalasa mengi yakiuzwa ama kufunguliwa milango .
Enzi za Wenger ilikuwa ni ngumu kwa timu hii kununua hata mchezaji mmoja tu hata wa kulumangia ! nani aliyekuwa anamhujumu mwingine kati ya bodi na kocha ?
Huku Magalasa mengi yakiuzwa ama kufunguliwa milango .
Enzi za Wenger ilikuwa ni ngumu kwa timu hii kununua hata mchezaji mmoja tu hata wa kulumangia ! nani aliyekuwa anamhujumu mwingine kati ya bodi na kocha ?