Je, Angekuwepo shujaa Afrika hayati JPM Angela Kiziga na Januari Makamba wangekuwepo uraiani?

Je, Angekuwepo shujaa Afrika hayati JPM Angela Kiziga na Januari Makamba wangekuwepo uraiani?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,281
Reaction score
7,061
Kupitia mradi wa Mahindra Tec na ununuzi wa genereta kutoka Usa Januari Makamba alipiga bil 85 jumla.

Huyu Angela Kiziga ndio alijichotea kabisa pesa za Watanganyika bil 60 bila hata kutoa jasho. Huku maafande wakivaa Khaki zilizopauka.

Ufisadi kama huu hayati JPM asingeuvumilia.

Utakumbukwa sana shujaa wa Rubambangwe.
 
Kupitia mradi wa Mahindra Tec na ununuzi wa genereta kutoka Usa Januari Makamba alipiga bil 85 jumla.

Huyu Angela Kiziga ndio alijichotea kabisa pesa za Watanganyika bil 60 bila hata kutoa jasho. Huku maafande wakivaa Khaki zilizopauka.

Ufisadi kama huu hayati JPM asingeuvumilia.

Utakumbukwa sana shujaa wa Rubambangwe.
Mbona hakumfanya kitu huyo mama akaishia kujiliza kwa Siro na Kangi?
Mengi yamepigwa kipindi chake,usimkweze tu
 
Ndiyo maana leo hayupo, hakuna fisadi atakayekubali nchi iongozwe na mtu mwadilifu na mwenye uthubutu kama JPM wanajua kabisa mirija yao itakatwa, yaani siyo tu Magufuli, wanahofia hata kivuli chake, ukitazama watu wote waliokuwa wakiikumbatia falsafa ya Magu wameondolewa mezani, mtu kama Kassim majaliwa, Humphrey polepole, Mh mpango nk, wote wamegeuka maadui baada tu ya kuonyesha kupingana na falsafa tofauti na ya Magufuli, watu hatari kama mwigulu ndiyo wanaoonekana wanafaa sana kuendana na sera yao ya ufisadi bila mipaka, Mungu atutetee.
 
Mbona hakumfanya kitu huyo mama akaishia kujiliza kwa Siro na Kangi?
Mengi yamepigwa kipindi chake,usimkweze tu
Angalau alikemea, na kumuweka hadharani, na akatoa maagizo kuwa ashughulikiwe, bahati mbaya akawahiwa yeye, au ulitaka Magufuli mwenyewe ndiye aende kwa kizigha kumkamata na kumsweka jela? Wakina rostam hadi walikimbia nchi, walipoingia viongozi majizi naye akarudi kuungana nao kumaliza kabisa nchi yetu, umemsikia lini samia akikemea fisadi direct? Hawezi! Kwa kuwa ufisadi ndiyo mpango kazi wa serikali fisadi.
 
Angalau alikemea, na kumuweka hadharani, na akatoa maagizo kuwa ashughulikiwe, bahati mbaya akawahiwa yeye, au ulitaka Magufuli mwenyewe ndiye aende kwa kizigha kumkamata na kumsweka jela? Wakina rostam hadi walikimbia nchi, walipoingia viongozi majizi naye akarudi kuungana nao kumaliza kabisa nchi yetu, umemsikia lini samia akikemea fisadi direct? Hawezi! Kwa kuwa ufisadi ndiyo mpango kazi wa serikali fisadi.
Nimuuliza anaishi Tanzania?
 
Hivi nyie kikundi cha wajinga ofisi za abdul mbona mueleweki yani ukitoka kusoma huku mnarudia huku utazani waimba kwaya.
 
Kupitia mradi wa Mahindra Tec na ununuzi wa genereta kutoka Usa Januari Makamba alipiga bil 85 jumla.

Huyu Angela Kiziga ndio alijichotea kabisa pesa za Watanganyika bil 60 bila hata kutoa jasho. Huku maafande wakivaa Khaki zilizopauka.

Ufisadi kama huu hayati JPM asingeuvumilia.

Utakumbukwa sana shujaa wa Rubambangwe.
Alimpiga Lissu risasi 40 ambaye hakuiba hata 100.

Alimpoteza Ben Saanane hakuiba hata 100.

Alimpoteza Azory Gwanda ambaye ni masikini tu, hakuiba hata 100.

Akaishia Kuwasuta kwa maneno kina ANGELA KIZIGHA, ROSTAM, KIKWETE, ZEE LA MILION 7 KWA DAKIKA, na FISADI SINGA SINGA ambayo kwasasa yamerudi kwa kasi ya ajabu yanaiba na kuua, huku yeye akiwa ameshaoza.
 
Alimpiga Lissu risasi 40 ambaye hakuiba hata 100.

Alimpoteza Ben Saanane hakuiba hata 100.

Alimpoteza Azory Gwanda ambaye ni masikini tu, hakuiba hata 100.

Akaishia Kuwasuta kwa maneno kina ANGELA KIZIGHA, ROSTAM, KIKWETE, ZEE LA MILION 7 KWA DAKIKA, na FISADI SINGA SINGA ambayo kwasasa yamerudi kwa kasi ya ajabu yanaiba na kuua, huku yeye akiwa ameshaoza.
Jikite kwenye mada husika. Acha kudandia kama unawashwa ukeni
 
Alimpiga Lissu risasi 40 ambaye hakuiba hata 100.

Alimpoteza Ben Saanane hakuiba hata 100.

Alimpoteza Azory Gwanda ambaye ni masikini tu, hakuiba hata 100.

Akaishia Kuwasuta kwa maneno kina ANGELA KIZIGHA, ROSTAM, KIKWETE, ZEE LA MILION 7 KWA DAKIKA, na FISADI SINGA SINGA ambayo kwasasa yamerudi kwa kasi ya ajabu yanaiba na kuua, huku yeye akiwa ameshaoza.
Who pulled the triger to Kill Lissu? Was JPM? Aliyewarudisha hao wezi unaowataha nani? Acha upuuzi
 
Angalau alikemea, na kumuweka hadharani, na akatoa maagizo kuwa ashughulikiwe, bahati mbaya akawahiwa yeye, au ulitaka Magufuli mwenyewe ndiye aende kwa kizigha kumkamata na kumsweka jela? Wakina rostam hadi walikimbia nchi, walipoingia viongozi majizi naye akarudi kuungana nao kumaliza kabisa nchi yetu, umemsikia lini samia akikemea fisadi direct? Hawezi! Kwa kuwa ufisadi ndiyo mpango kazi wa serikali fisadi.
Umemsoma mleta mada?
Hajui hilo tukio kama lilitokea kipindi cha JPM ndiyo maana kahoji angelikuwa JPM angevumilia huo ufisadi?
Nchi ilisha fitinika,hakuna mwenye uoga wa kuiba ili mradi kapata nafasi.
Itatuchukua miaka 50 nchi yetu kutoka kwenye huu ubovu wa uendeshaji.
 
Umemsoma mleta mada?
Hajui hilo tukio kama lilitokea kipindi cha JPM ndiyo maana kahoji angelikuwa JPM angevumilia huo ufisadi?
Nchi ilisha fitinika,hakuna mwenye uoga wa kuiba ili mradi kapata nafasi.
Itatuchukua miaka 50 nchi yetu kutoka kwenye huu ubovu wa uendeshaji.
Sio kweli. Kiziga aliwekwa Kando ili aje apandishwe mahakamani. Acha uongo kama mwanamke.
 
Sio kweli. Kiziga aliwekwa Kando ili aje apandishwe mahakamani. Acha uongo kama mwanamke.
Unakiri kuwa Kiziga alipiga kipindi cha JPM,uongo wangu ni upi?
Una uelewa mdogo ndiyo maana ubongo wako umejaa matusi na ushabiki.
Kwa heri
 
Shujaa alifanikiwa kumfunga Godbless Lema kwa sababu ya kuota ndoto kuwa akiwa na kiburi atakufa....akamfunga Mchungaji Msigwa na akina Mbowe....nafikiri angekuwepo na Lissu angekuwa ndani kwa uhaini...mfumo ni ule ule wa kupambana na upinzani 🐼
 
Back
Top Bottom