South ina bei nafuu sana kwa vitu vya electronic , mwaka 2011, niliagiza bluetooth speaker ya Sony srs btx 500 kutoka e bay, nilipa kama Dola 260 kwa wakati huo, wiki mbili baadaye nikapata trip ya Sa, ile narud nipo duty free shop naikuta same speaker kwa bei ya 160 usd .Mie nilinunua SA tena ilikuwa kwenye maonesho ya vifaa vya kumpyuta. Sikwenda kwa ajili ya hizo speaker nilinunua kwa kuwa nilizielewa sana na nilikuwa natafuta Bluetooth speaker na niliweka uzi kabisa hapa
South ina bei nafuu sana kwa vitu vya electronic , mwaka 2011, niliagiza bluetooth speaker ya Sony srs btx 500 kutoka e bay, nilipa kama Dola 260 kwa wakati huo, wiki mbili baadaye nikapata trip ya Sa, ile narud nipo duty free shop naikuta same speaker kwa bei ya 160 usd .
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss ngapi hiyo?Kuna huu mzigo JBL PARTYBOX ni balaa na nusu!View attachment 1405784View attachment 1405785View attachment 1405786
Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana sema nini mkuu kama hutojali nimeelewa hiyo showcase unaweza ipiga vizuri mkuu.
Speaker za JBL kwa 30K?Kuna mdau kasema hapo juu kuwa yake alinunua kariakoo 30,000 tu. na mziki wake mnene.
wewe una maoni gani kaka
Si yangu kuna mwana alinitumia tuNoma sana sema nini mkuu kama hutojali nimeelewa hiyo showcase unaweza ipiga vizuri mkuu.
Anhaa
Huu mzigo unapiga mziki balaa una herman sound, nikawa nadharau ilivyo kaaa kama wa kuuzia CD kuuliza bei 2M.Kuna huu mzigo JBL PARTYBOX ni balaa na nusu!View attachment 1405784View attachment 1405785View attachment 1405786
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamachinga huku kwetu wanatembezaWakuu mambo vp
Ebwana nmekutana juzi na hizi wireless speaker zinapiga hatari...
Sasa kwa hapa bongo naomba kujua naweza kupata kweny maduka gani?
Ok mode of paymentView attachment 1646153
Anker Soundcore 2
•
Specifications(Sifa)
.
24Hours Playtime(Inakaa charge masaa 24)
.
IPX7 Waterproof(Haiizingizi maji)
.
12Watts(ina watts 12)
.
Bluetoo 5 Extended Range up to 66ft(Unaweza tumia wireless kwa umbali mrefu sana hadi futi 66)
.
Enhaced sound(Rich bass)
•
#Only for 165,000TSH+VAT
•
Kama upo Dar es salaam unaletewa ulipo(Free delivery),Mikoani tunatuma
•
Kuipata DM au
•
Call,Text,Whatsapp #0784757203
•
WOTE MNAKARIBISHWA
Ok mode of payment
Laki nane kwani kina chanjo ya Corona?Amesema laki nane. Wewe unaweza kutoa pesa hiyo kwa kidude hicho!!!
Ndio kina Chanjo ya corona iliyomtoa mjini rais wakoLaki nane kwani kina chanjo ya Corona?
Wapi hapo nijichange niifuate chapZanzibar unapata kwa laki 3
Nilienda kuulizia pale msizwa electronics nikaambiwa hiyo beiAmesema laki nane. Wewe unaweza kutoa pesa hiyo kwa kidude hicho!!!