JB Belmont Hotel nini kimetokea?

Acha utaahira wewe hivi humu tunatumia midomo kuandika!? We nani humu mpaka uniamulie nikae kimya!? Acha kujibaraguza.

We mtu akifunga biashara yake maanake amefilisika.... hivi ukikaa kimya mdomo utanunka?
 
Kwenye biashara ndio utajua tofauti kubwa kati ya mhindi na mwafrika,wakati wahindi bado wanendesha biashara zilizoanzishwa na mababu zao sisi waafrika tunashindwa kuendesha biashara zilizoanzishwa na baba zetu,kwani wakifa tu biashara ya mjukuu wa kihindi itaendelea na kukua mara dufu lakini akifa baba wa kiafrika basi biashara ndio kwishney ,nadhani umnifahamu nilivyoandika babu wa kihindi na baba wa kiafrika
 
Kama uliweza kuona mabango yameondolewa na ofisi zao unazijua kwanini hukupitia hapo kupata jibu sahihi? Unajua acha kuwa mvivu wa kuutafuta ukweli
Yeye ndo anaishia ivyo ivyo kuona na kusoma mabango tu hata kikombe cha kahawa ajawahi kuwaungisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…