Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,415
- 14,587
Mkurugenzi wa Kampuni ya JAYRUTTY akiwa amepiga picha na basi litakalotumiwa na kampuni hiyo katika uuzaji wa jezi za Simba pamoja na promosheni mbalimbali zinazohusiana na Klabu ya Simba. Tukio hilo limefanyika nchini China, ambapo maandalizi yote yamekamilika, na basi hilo linatarajiwa kuingia majini kuanza safari ya kuelekea Dar es Salaam.
Wakati huo huo, kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye vyanzo vyakuaminika, basi la Simba aina ya IRIZAR pia tayari limeshanunuliwa na linatoka nchini Hispania, kama ilivyoahidiwa. Hata hivyo, kutokana na changamoto za njia ya maji kutoka Ulaya, njia ya usafirishaji imebadilishwa. Kutokana na mabadiliko hayo, basi la Simba IRIZAR linatarajiwa kuwasili Dar es Salaam mwezi Februari mwaka huu.
Zaidi