Msakatonge
New Member
- Mar 14, 2011
- 4
- 0
acha uboya ww,,!jay mo ni rappa mzuri na anastahili malipo mazuri ambayo hapati,,!sasa badala afanye harakati anazd kushirikiana na wanyonyaji,,!huu ni upuuz,,!famous anajisifia kutembea na warembo,,!pigania haki upate malipo unayostahili na sio umaarufu wa kipuuzi