Mr Penal Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 823
- 213
Kweli ukistaajabu ya lubuva utayaona ya jecha.
Wadau kumbukeni gakuna fomula moja ambayo inaweza kujibu shida za wana ndoa wote,kila ndoa ina mazingira yake tofauti,hivyo dawa halisi ni kila mwanandoa kumfahamu mwenzie kinagaubaga mfano kuna ndoa mmoja wapogegedana mme huenjoi sana mkewe akimnyeaKumekuwa na kilio kirefu sana juu ya wanandoa kusalitiana.Ifuatayo ni dawa ya kuzuia tatizo hilo ni kwa wale tu waishio ndani ya nyumba moja kama mke na mme au waliokwisha funga ndoa.
Kwanza,tambua umri halisi wa mke wako,zoezi lifanyike kwenye kitanda mnacholala.
Nyonya vidole vyote vya mguu wa kushoto wa mke wako mara idadi ya umri wake. Baada ya kumaliza nyonya kiwiko cha mkono wake wa kushoto na mwishowe malizia nyuma ya goti la mguu wake wa kushoto. Ukimaliza mnong'oneze maneno 'Nakupenda' kwenye sikio lake la kushoto utakuwa umeshamaliza kazi.
NB: Zoezi hili lifanyike mkiwa kwenye kitanda chenu mnacholalia tu
Hahahaaaa mpka nimecheka sanaDawa za kishirkina ukikosea masharti, inakudhuru mara mbili, ina maana ukikosea, atasaliti mara nyingi. Ngoja tu anisaliti lakini sio kushiriki huo ushirikina, unyonye hizo sehemu mara 40 !!! Kwanza utamweleza kuwa unafanya nini !!
hhahahha nimecheka kwa sauti...nipo ofisini hapa nazua na internet maana muda wa kusepa tayari zamanimi nilastman standingtechnical...namalzia uhondo na jf....nimepata uhondo hapa hahaha maana nimecheka tu...JF aminiaaaa
Hakuna uchawi hapa, hakuna msukule wala tambiko. Hakuna tunguli wala lamli una deal na psycholojia ya mwanamke tuHa ha ha ha ha afadhali nimeingia humu maana nimecheka ghafla. Kwa nini mnafundisha watu uchawi? Mungu hapendi lakini.
hahahaha nimecheka kama mwehu uwii dohKweli ukistaajabu ya lubuva utayaona ya jecha.