Jaribio la kuomba hela

jamaa alikuwa na papara tuu.....ila angekuwa kweli kazimika.....nna hakika angekupata...hakuna mkate mgumu mbele ya chai.......
 
Yaan sipendi nikutane na mwanaume in the first place anambie mambo ya ngono yaan nakerekagaaaa naweza kumjibu neno moja afute no mwenyewe.
 
Huyo jamaa ajui kusaundisha,,,anapigwa sound mpaka unatubu,,,
 
Kajiongeza [emoji3][emoji3]
Ukipiga bomu tu mtu anajua hapa sihitajiki.
Na hio ndio njia pekee ya kumfukuza fisi😂😂😂 ambayo wanawake wengi inatakiwa wajifunze. Ukiombwa hela bila sababu ya msingi katika hatua za awali tu baharia jua tu huitajiki!

Sikuhizi nilichogundua mwanamke anaekupenda anakupa yeye hela na papuchi ili umpe airtime. Kazi ni kwenu mabaharia. Zama zimebadilika watoto wa Dar wanazidi kuoza tu!
Ref: Ben Pol et. al
 
Hiyo ndio njia rahisi kabisa ya kuvifikuza kikwale, kuna vijanaume vina kelele kama mbu... Ukiona kinaongea sanaaa story za sungura na fisi kipige mzinga tu kinaondoka kama kunguru wa dar.
Hahahahah Eve huwa nakukubali hapo tu 😂😂😂 eti kelele kama umbu!!!

Sometimes i really try to imagine ypur character ukiwa faragha inakuwagaaje yani!?...Mus B a bad girl indeed!!!
 
Yaan sipendi nikutane na mwanaume in the first place anambie mambo ya ngono yaan nakerekagaaaa naweza kumjibu neno moja afute no mwenyewe.
Ila vipi akikuambia hivyo yule anaekukosha, secret admirer utamjibu kunya nae? Najua yupo so far...au ndio itakuwa #shut up and take my pants off...#$&@+&%
 
Hiyo ndio njia rahisi kabisa ya kuvifikuza kikwale, kuna vijanaume vina kelele kama mbu... Ukiona kinaongea sanaaa story za sungura na fisi kipige mzinga tu kinaondoka kama kunguru wa dar.
Na ukikapiga mzinga kisha kakiripuka...( unaomba 50k kanatoa 100k ) ?
 
Ila vipi akikuambia hivyo yule anaekukosha, secret admirer utamjibu kunya nae? Najua yupo so far...au ndio itakuwa #shut up and take my pants off...#$&@+&%
Ahaaaa anaenikosha lazima nae aje kwa ustaarabu, sio tu day one tu anataka papuchi, afu kumbuka mtu mwenye malengo na wewe hawezi kuwa na uchu wa papuchi haraka hivyo.
 
Wanawake bhana hamna hata shukrani,mm nadhani ungepata hiyo 50 hata hili bandiko usingelileta hapa ,
Jamaa safi sana kajiongeza,kwenye kikao chetu cha 21 tuliazimia hakuna kutuma pesa,pesa unaifuata kwa nauli yako hotel,or getho
 
Ahaaaa anaenikosha lazima nae aje kwa ustaarabu, sio tu day one tu anataka papuchi, afu kumbuka mtu mwenye malengo na wewe hawezi kuwa na uchu wa papuchi haraka hivyo.
ila ikumbukwe nawe unaweza kuwa na uchu na mashine yake vibaya mno...uko chini ni chemchem tu. Wasomi wanasema mafanikio ni matokeo ya utayari na fursa vikikutana!
 
Wanawake bhana hamna hata shukrani,mm nadhani ungepata hiyo 50 hata hili bandiko usingelileta hapa ,
Jamaa safi sana kajiongeza,kwenye kikao chetu cha 21 tuliazimia hakuna kutuma pesa,pesa unaifuata kwa nauli yako hotel,or getho
😂 ni kweli mwenyekiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…