Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,103
- 128,722
Wanabodi,
Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina!.
Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yetu mkubwa, aliyeitwa kule. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kuitwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee!, ndie aliyetoa, kisha akatwa, jina la Bwana lihimidiwe!.
Ila kuna watu, wenye jicho la tatu, “saw It coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akaitwa!
Sasa huu ni wakati wa Dada Mkubwa, hao watu wenye hilo jicho la tatu, bado wapo, na jicho lao linaona yanayotendeka, linaona yanayotokea, wanaviona viashiria vya same same likely scenario kama ile ya enzi za Kaka na kwa Dada wanaona, na wanasema tena kwa nia njema ile ile na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.
Dada yangu kipenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila kitu utakacho sikia, au utakacho ambiwa kwa maana utasikia vingi, na utaambiwa vingi, ukisema uvishike vyote, utashika vingapi na kuvizingatia vingapi wakati uwezo wa binadamu una limits?.
Uzuri wa masikio, kelele zikipigwa sana, masikio ni lazima yatasikia japo sio kila kitu na kila kelele!, ila kelele zikipigwa, lazima utasikia tuu kuna kelele pahali!, hivyo nakushauri sikiliza kila utakacho sikia, na kila utakacho ambiwa, ila usiamini kila utakacho sikia au kila utakacho ambiwa, bali kisikilize kwa kuishirikisha sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikikwambia kitu hiki ni cha kweli, fanya, ikikuambia hiki sii cha kweli, usifanye, ila lazima uifanyie tathmini hiyo sauti kutoka ndani yako to establish ni sauti ya nani, kati ya YEYE na yeye?, kama ni sauti ya kwake YEYE Mwenyewe, na ukajiridhisha ni sauti yake YEYE, then, usiipuuzie, lakini kama ni sauti ya yeye tuu, achana nayo, endelea na mipango yako ile ya lile jambo letu!.
Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu kumhusu Dada yako, ambacho kitamsaidia, mwambie tuu huyo Dada yako ili kimsaidie.
Sauti hiyo imeniambia kuna watu wamemzunguka, dada yako, huku wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, miongoni mwao, kuna baadhi wana jicho la tatu, na kuna vitu ambavyo haviko sawa wanaviona vinatokea, na vinafanyika, na havija kaa vizuri, walipaswa kumwambia Dada kuwa hii sii sawa, haijakaa vizuri au jambo hili sii sawa, lakini wanashindwa kumwambia kwasababu mrindimo wa ngoma za sifa na mapambio imepamba moto, na inarindima kweli kweli!kila kona ni , mamaa...! mamaaa...!hivyo hawamwambiii, na wao wameamua kujoin mrindimo huku wamenyamaza kimya, hawasemi kitu!, ila ukweli wanaujua, kuwa some things zinazofanyika, they are not right!, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea kuusema ukweli kwa kuchelea labda Dada atakasirika!, kwasababu hata yeye mzuka wa mrindimo wa ngoma, umempanda!.
Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, na mfano mzuri ni issue kama HII akiisikia kama ni ya YEYE akiizingatia, itamsaidia, lakini kama ni ya yeye,aachane nayo, tuendelee kulisongesha kuelekea kwenye lile jambo letu lile!
Paskali
Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina!.
Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yetu mkubwa, aliyeitwa kule. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kuitwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee!, ndie aliyetoa, kisha akatwa, jina la Bwana lihimidiwe!.
Ila kuna watu, wenye jicho la tatu, “saw It coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akaitwa!
Sasa huu ni wakati wa Dada Mkubwa, hao watu wenye hilo jicho la tatu, bado wapo, na jicho lao linaona yanayotendeka, linaona yanayotokea, wanaviona viashiria vya same same likely scenario kama ile ya enzi za Kaka na kwa Dada wanaona, na wanasema tena kwa nia njema ile ile na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.
Dada yangu kipenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila kitu utakacho sikia, au utakacho ambiwa kwa maana utasikia vingi, na utaambiwa vingi, ukisema uvishike vyote, utashika vingapi na kuvizingatia vingapi wakati uwezo wa binadamu una limits?.
Uzuri wa masikio, kelele zikipigwa sana, masikio ni lazima yatasikia japo sio kila kitu na kila kelele!, ila kelele zikipigwa, lazima utasikia tuu kuna kelele pahali!, hivyo nakushauri sikiliza kila utakacho sikia, na kila utakacho ambiwa, ila usiamini kila utakacho sikia au kila utakacho ambiwa, bali kisikilize kwa kuishirikisha sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikikwambia kitu hiki ni cha kweli, fanya, ikikuambia hiki sii cha kweli, usifanye, ila lazima uifanyie tathmini hiyo sauti kutoka ndani yako to establish ni sauti ya nani, kati ya YEYE na yeye?, kama ni sauti ya kwake YEYE Mwenyewe, na ukajiridhisha ni sauti yake YEYE, then, usiipuuzie, lakini kama ni sauti ya yeye tuu, achana nayo, endelea na mipango yako ile ya lile jambo letu!.
Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu kumhusu Dada yako, ambacho kitamsaidia, mwambie tuu huyo Dada yako ili kimsaidie.
Sauti hiyo imeniambia kuna watu wamemzunguka, dada yako, huku wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, miongoni mwao, kuna baadhi wana jicho la tatu, na kuna vitu ambavyo haviko sawa wanaviona vinatokea, na vinafanyika, na havija kaa vizuri, walipaswa kumwambia Dada kuwa hii sii sawa, haijakaa vizuri au jambo hili sii sawa, lakini wanashindwa kumwambia kwasababu mrindimo wa ngoma za sifa na mapambio imepamba moto, na inarindima kweli kweli!kila kona ni , mamaa...! mamaaa...!hivyo hawamwambiii, na wao wameamua kujoin mrindimo huku wamenyamaza kimya, hawasemi kitu!, ila ukweli wanaujua, kuwa some things zinazofanyika, they are not right!, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea kuusema ukweli kwa kuchelea labda Dada atakasirika!, kwasababu hata yeye mzuka wa mrindimo wa ngoma, umempanda!.
Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, na mfano mzuri ni issue kama HII akiisikia kama ni ya YEYE akiizingatia, itamsaidia, lakini kama ni ya yeye,aachane nayo, tuendelee kulisongesha kuelekea kwenye lile jambo letu lile!
Paskali