Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,955
- 95,278
Naogopa kuamini kama kale kautamaduni wetu wa kupokezana vijiti baada ya 10 yrs kataendelea tena
Subiri ujionee akitumbuliwa ..Anachokifanya Joka la mdimu ni kummeza kila mtu ambaye anaonyesha kuwa ana nguvu ya ushawishi ambayo inaweza kumtoa katika kiti chake. ....So ndio ameanza rasmi sasa ...Bwana Hahahahahahahahah dah CCM kume Pamba moto