achen uchuro kama vipi voda com ya mwamvita inahusika kwan kuandaa mazingira ya january kupata ubunge mnara wa 1 jimbo la bumbuli ulijengw kwenye kijiji cha mzee makamba kukonka nyoyo za wanabumbuli mwamvita akafanya mishe kata yetu ikapata mnara kwan ndio kata inayopitsha mbunge na kuna vipeperush vya voda vinamulazea bwana mdogo january karibu kila familia inavpeperush 3 jimboni na n nivya gharama sana.yan january na mwamvita hatuwezi kuwatofaitsha.january hana alilotenda jimbo la bumbuli kama analo aje athibitishe hapa.hakuna jipya ambalo atawaletea wanabumbuli na tz.kama ni hivyo tusimjadili riz na barik nk.