Jiwe Linaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,736
- 2,137
ngoja tuone utendaji wake kwanza ndio tutajua mbivu na mbichi
Muda c mrefu ****** atampeleka Nishati na madini, tayari umesahau ile mail ya dada kwenda kwa mkuu pale barrick? 2015 inakuja, mtaondoka tu hata kwa sime coz this time hatutakubali kabisa.and then so what? does she own voda? was she responsible for his appointment? Mke wako akiwa nesi wewe huwezi kuwa mganga mkuu? Mkeo au Dada yako akiwa mwalimu wewe huwezi kuwa mwalimu mkuu. Jamani tutofautishe undugu na uwajibikaji wa Umma mnaweza kuwa mmezaliwa tumbo moja lakini hamuivi kabisa
Kuna shirika la Umma Kama TCRA Wana misuse sana hela za watanzania!! Ngoja Tumuone Huyu dogo atakuja na sera gani za Kudhibiti huu Upotevu
and then so what? does she own voda? was she responsible for his appointment? Mke wako akiwa nesi wewe huwezi kuwa mganga mkuu? Mkeo au Dada yako akiwa mwalimu wewe huwezi kuwa mwalimu mkuu. Jamani tutofautishe undugu na uwajibikaji wa Umma mnaweza kuwa mmezaliwa tumbo moja lakini hamuivi kabisa
Bora ninyi mmezaliwa tumbo moja na mnaivana,hata kikazi,...naibu waziri mawasiliano na voda hongereni!!(kiukweli kweli)and then so what? does she own voda? was she responsible for his appointment? Mke wako akiwa nesi wewe huwezi kuwa mganga mkuu? Mkeo au Dada yako akiwa mwalimu wewe huwezi kuwa mwalimu mkuu. Jamani tutofautishe undugu na uwajibikaji wa Umma mnaweza kuwa mmezaliwa tumbo moja lakini hamuivi kabisa
Unaibu wa Makamba is total regardness na u-voda wa mwamvita.
you put my memory well as well as sighting clearly my thinking connection about this.mnajua mzee wa siasa uchwara ndo alikua na bifu na mzee shellukindo na kuamua kumsposor January akamng,oe mzee shelikindo kwa wakazi wa jimbo la bumbuli wanajua hili kwan kwenye kata ya mgwashi baada ya dogo kuandaliwa mazingira mnara wa voda ulijengwa fasta na nkumbuka kampeni zilianza tareha 25/8/2009 na kitongoji cha kito ndo kwa mara ya kwanza wapambe wa january alikuaja kumwaga pesa kwenye nyumba ya kijana anaitwa shauri gilla na vipeperushi ving vya voda vilitolewa karibu kila nyumba kumuelezea january kuwa amesoma marekan anawafadhili.yan voda na january huwez kutofautisha na he is there to protect interests of mafisadi nothing else na kufuru aliyofanya wakati wa kampen huyu bwana mdogo asije fananishwa na makamanda wa chadema hata siku moja ni nyoka tena cobra.January hawez kuitwa msafi hata kidogo kama hamuamini mtu ajitolee akafanye utafit mdogo ndani ya jimbo na kuulilza pesa alizo gawa january je alipa wap kama hakupewa na mafisadi kuja kumuondoa mzee mwadilifu wa chama cha magamba yasiyochunukaKitu cha muhimu hapa ni kujua uhusiano mkubwa uliopo baina ya makampuni ya caspian na vodacom na waheshimiwa EL na mheshimiwa wa 'siasa uchwara', na tusisahau kuwa hata Ngeleja alikuwa mwanasheria wa Vodacom akaja kulinda kupata pesa za kuingiza huko kwa njia ya kuuza mitambo ya richmond badala ya kuifilisi. Kwa hiyo hoja hii ina msingi mkubwa maana VODACOM ni mali ya hao jamaa kwa hiyo wanamweka Januari azidi kulinda maslahi yao. Atakapotoka Makamba labda ataingia Peter Dalali Kafumu.
Watanzania tufunguke tukatae uteuzi wa kulinda genge la wahuni