busaraza2015
Member
- Jul 30, 2014
- 22
- 9
Pamoja na kujitangaza sana katika media (magazeti, tv na radio) na kwenye mitandao ya kijamii, January Makamba bado ameshindwa kuonyesha mvuto wake katika utendaji, kijana huyu anayejiona MSOMI wa juu sana amekuwa ni katika wabunge wa CCM ambao raisi Kikwete amewaweka serikalini kwa shinikizo la wapambe (baba yake Mzee Makamba).
Itakumbuka kwenye baraza la mawaziri la kwnza kabisa pamoja na matarajio makubwa kabisa, mh Raisi ailimuacha January kwenye uteuzi wa mawaziri na manaibu waziri, hili lilikuwa pigo kwa familia yake na yeye mwenyewe.
Lakini hata baada ya kuteuliwa kuwa naibu waziri wa mawasialiano, technolojia na sayansi baada ya mabadiliko yaliyofanya na mh raisi, January ameendelea kubaki kwenye wizara akiwa akama naibu waziri kwa kipndi chote cha uongozi wa Mh Kikwete.
Tumeona wabunge wenzake vijana na wazee ambavyo wamekuwa wakipata nafasi ya kupanda ama kubadilishiwa wizara mara kwa mara....yeye palepale tu na inasemekana hata hapo alipo ni mzigo.
Wapo wasiojua kwamba hata January kuondolewa ikulu kama msaidizi wa raisi ilikuwa ni baada ya kuonekana hana uwezo na amekuwa ni mzigo kwa raisi, ndipo kumpooza wakamsaidia kuingia bungeni kwa gharama kubwa.
Eti sasa anataka kuwa raisi wa nchi hii, jamani!
Itakumbuka kwenye baraza la mawaziri la kwnza kabisa pamoja na matarajio makubwa kabisa, mh Raisi ailimuacha January kwenye uteuzi wa mawaziri na manaibu waziri, hili lilikuwa pigo kwa familia yake na yeye mwenyewe.
Lakini hata baada ya kuteuliwa kuwa naibu waziri wa mawasialiano, technolojia na sayansi baada ya mabadiliko yaliyofanya na mh raisi, January ameendelea kubaki kwenye wizara akiwa akama naibu waziri kwa kipndi chote cha uongozi wa Mh Kikwete.
Tumeona wabunge wenzake vijana na wazee ambavyo wamekuwa wakipata nafasi ya kupanda ama kubadilishiwa wizara mara kwa mara....yeye palepale tu na inasemekana hata hapo alipo ni mzigo.
Wapo wasiojua kwamba hata January kuondolewa ikulu kama msaidizi wa raisi ilikuwa ni baada ya kuonekana hana uwezo na amekuwa ni mzigo kwa raisi, ndipo kumpooza wakamsaidia kuingia bungeni kwa gharama kubwa.
Eti sasa anataka kuwa raisi wa nchi hii, jamani!