britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
"Kuhusu kuwa Rais hili linasemwa sana nami niseme, kwangu na kwa wasionikubali hili jambo sio la kupania kwani Mungu ndiye hupanga, akitaka uwe hakuna awezaye kuzuia usiwe, na hadi mbingu na ardhi zitakula njama ili uwe, asipotaka uwe, hata ufanyeje huwezi." - January Makamba