January Makamba awa gumzo Kariakoo

mapessa

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
664
Reaction score
1,168
Gumzo na baadhi ya vijana kwenye kijiwe cha Bodaboda Kariakoo jioni ya leo. Kila mmoja ana historia na ndoto mahususi za maisha yake. Wote wana maoni mengi namna gani mtu mmoja mmoja na pia nchi inaweza kufika pale tunapotarajia katika ngazi ya maendeleo na uwajibikaji. Ni jambo jema na la kutia moyo sana kuona vijana wana mtazamo chanya na mpana namna hii kuhusu hatima yao na nchi yao.
 

Attachments

  • 250213_802203823154917_3770266448504148421_n.jpg
    79.8 KB · Views: 2,815
  • 10407687_802203816488251_3000847315124237119_n.jpg
    75.3 KB · Views: 2,645
  • 10403237_802203819821584_6321720792138771643_n.jpg
    83.8 KB · Views: 2,497

kila la kheri kijana wetu.
 
vijana tuamke tujipiganie wenyewe vijana tusikubali kuongozwa na wazee tu kila wakati,wakati ndio huu wa kijiongoza sisi wenyewe.kila la kheri ndugu january makamba.

kweli mkuu,sisi kama vijana inabidi tujitambue na tujiamini kwa kila kitu mpaka uongozi wa juu tunaweza kuupata na tukafanya vizuri tu kuliko ata hao wazee.
 
Hivi siku hizi watu wamekosa hoja? hiki ni nini sasa tunajadili hapa?

Mkuu nae huyu anasaka 'urahisi' kwa kufanya cheap publicity kama hizi hapa. Kazi alopewa ya uwaziri naibu imemshinda hadi leo. Hatusikii lolote na utendaji au ubunifu zaidi ya blah blah mingi isiyo na tija. Kukutana na boda boda so what? unataka kusema nini sasa?

Kiongozi mzuri hahitaji kutumia nguvu ya ziada ili aonekane. Ukiona wa hivyo ujue kabisa hafai hafai

poor Makamba January
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…