Janja janja ya huduma za internet

Janja janja ya huduma za internet

mabutu1835

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2018
Posts
1,136
Reaction score
1,913
Kelele zimepigwa sana kuhusiana na huduma ya internet nchini lakini hakuna lolote acha tupige na sisi
  • Bei juu za huduma ya internet.
  • Ukizoea line fulani kwa muda kinachotokea bando la internet linaisha mapema isivyo kawaida.
    - Wengine ukijiunga bando la internet mtandao unapotea zikikaribia kuisha mtandao unakaa sawa.
Watoa huduma wapunguze janja janja, bei za bando za internet zipunguzwe, bando ziishe kulingana na matumizi. Huduma ya internet sio anasa bali ni huduma kama zilivyo huduma nyingine za simu.

- Wasitupe maelezo kuwa kuna program za kifaa kinatumia bando.
-Ulimwengu bila huduma rafiki za internet tutaendelea kuwa wasindikizaji tu. Tunashindwa kujiajiri au kufanya biashara za mtandaoni na hata kujiendeleza kielimu.
 
Back
Top Bottom