Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Kwani hajatumiwa Mtani?
Bado na analalamika sana kuhusu hilo Mtani.
Kwani hajatumiwa Mtani?
Kutoka Dar Young Africans mpaka kuwa Matikiti Fc ShadeeyaView attachment 1467697
Hatua za awali za ujenzi wa uwanja wetu hatimaye umeanza. Ahsante GSM,LALIGA na SEVILLA. DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
Hizo ni propaganda tu Mtani ambazo hata kipindi cha Zahera zilikuwa zinafanyika sana tu.Bado na analalamika sana kuhusu hilo Mtani.
Ndo alipowapa Bashite hapo?Mtani hivi hapo nini kimekuaminisha kwamba ni penyewe?
Mtani mimi nimeona shamba la matikiti la Yanga.Mtani hivi hapo nini kimekuaminisha kwamba ni penyewe?
Sijui hata Mkuu ndio na mie nauliza?Ndo alipowapa Bashite hapo?
Mtani mimi nimeona shamba la matikiti la Yanga.
Hongereni sana mtani kazaneni kumwagilia matikiti yaive haraka tumtumie nauli kocha
Ndiyo bwana shamba wenu wa matikiti ?
Najua unamjua shughuli yake Mtani.Ndiyo bwana shamba wenu wa matikiti ?
Mi ndo nakutegemea wewe kwa updates zenu hapa jfSijui hata Mkuu ndio na mie nauliza?
Hizo ni propaganda tu Mtani ambazo hata kipindi cha Zahera zilikuwa zinafanyika sana tu.
Ilimradi tu kuitowa timu ya Wanachi relini.
Namjua sana hasa kwenye kukanyaga Money maker pump kwenye shamba lenu la matikiti mtaniNajua unamjua shughuli yake Mtani.
Hamna kitu kama hicho Mtani.Kama ni hivyo sawa, maana nilisikia kabisa redioni kwamba jamaa anaomba akatiwe ticket lakini mmemkaushia.
Dooh.Namjua sana hasa kwenye kukanyaga Money maker pump kwenye shamba lenu la matikiti mtani
Hongereni sana mtaniDooh.
Nikisema sijaipokea ahsante yako nitakuwa nakosea eti Mtani. 😎Hongereni sana mtani
Mtani haitaondoa uhalisia kuwa ni nyinyi ni wachapakazi wazuri huko kwenye mashamba yenu ya matikiti majiNikisema sijaipokea ahsante yako nitakuwa nakosea eti Mtani.
Mtani haitaondoa uhalisia kuwa ni nyinyi ni wachapakazi wazuri huko kwenye mashamba yenu ya matikiti maji