dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,531
hakuna kanisa linadhaminiwa na wahuni wa ccm kama huyu mama
Usibishe ndg makanisa yaliyo mengi ni kama maKAMPUNI sasa Kampuni itachagua Pesa yakuchukua
hakuna kanisa linadhaminiwa na wahuni wa ccm kama huyu mama
Mkuu hunishindi mimi nimecheka sana mpk wife kaamka kuja seating room kunicheck nimekutwa na nini!!!sasa sijui alitaka baada ya kupokea aitupe au vp...au kaona asumpta ni celebrity hivyo Ana-feel proud kusali nae!!!!dah sikutegemea
Mkuu hunishindi mimi nimecheka sana mpk wife kaamka kuja seating room kunicheck nimekutwa na nini!!!sasa sijui alitaka baada ya kupokea aitupe au vp...au kaona asumpta ni celebrity hivyo Ana-feel proud kusali nae!!!!dah sikutegemea
Jana nimesali kanisa moja na asumpta mshana na amepokea sakramenti kama kawaida
Jana nimesali kanisa moja na asumpta mshana na amepokea sakramenti kama kawaida
hakuna kanisa linadhaminiwa na wahuni wa ccm kama huyu mama
mh.....ina walakini hii, yule mama ni mlokole sa iyo sakramenti aliipokelea wapi??
Ahsante mkuu. Wengi wanachanganya hili jinaKama unamzungumzia mbunge wa Nkenge, huyo anaitwa ASUMPTA MSHAMA na siyo ASUMPTA MSHANA...
MSHAMA ni jina lenye asili ya mkoa wa KAGERA
MSHANA ni jina lenye asili ya mkoa wa KILIMANJARO-UPARENI
Nashauri urekebishe hilo jina kwenye heading yako ili kuipa nguvu hoja yako...
Tafakari...
Jana nimesali kanisa moja na asumpta mshana na amepokea sakramenti kama kawaida
tatizo mabinti masharobaro hamjui hata nchi inavyoenda,huyo mama ni kati ya wabunge waliochangia pumba na matusi bunge la escrow akitetea wezi.sasa inashangaza kuona ni muumini ambaye tunategemea angongozwa na busaraNimecheka sana kwahiyo ilitakiwa aiteme
Baada Ya Hapo Nilikuwa Na Gest Nakula K2mbua Chake
...walokole wanayo pia ila sio kila jumapili, kwao ni Mara chache na wanaita meza ya bwana....mh.....ina walakini hii, yule mama ni mlokole sa iyo sakramenti aliipokelea wapi??
hata wao huila ila inaitwa meza ya Bwanamh.....ina walakini hii, yule mama ni mlokole sa iyo sakramenti aliipokelea wapi??
Jana nimesali kanisa moja na asumpta mshana na amepokea sakramenti kama kawaida