Jana nimesali kanisa moja na asumpta mshana

Jana nimesali kanisa moja na asumpta mshana

NYEREGENDA

Senior Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
174
Reaction score
30
Jana nimesali kanisa moja na asumpta mshana na amepokea sakramenti kama kawaida
 
Sasa alitakiwa afanyeje baada ya kuipokea? Au ulitaka kusema hakupaswa kwenda kupokea?
 
Mkuu usishangae kusikia huyo ndio mfadhiri wa kanisa hilo anakubalika kwa sbb anatoa sadaka nyingi
 
Mkuu usishangae kusikia huyo ndio mfadhiri wa kanisa hilo anakubalika kwa sbb anatoa sadaka nyingi

hakuna kanisa linadhaminiwa na wahuni wa ccm kama huyu mama
 
Huyo mama ni kichefuchefu sijui watu wa Nkenge wanajisikiaje kuongozwa na mburula kama Asumpta
 
Nimecheka sana kwahiyo ilitakiwa aiteme
Mkuu hunishindi mimi nimecheka sana mpk wife kaamka kuja seating room kunicheck nimekutwa na nini!!!sasa sijui alitaka baada ya kupokea aitupe au vp...au kaona asumpta ni celebrity hivyo Ana-feel proud kusali nae!!!!dah sikutegemea
 
Sasa alitakiwa afanyeje baada ya kuipokea? Au ulitaka kusema hakupaswa kwenda kupokea?
Mkatoliki aliye jiandaa ndiye pekee anapokea Sakramenti. Huyu mama anajiita Mchungaji akisali ktk Vikanisa vya Ujasirimali ilikuaje akakubaliwa kupokea Sakramenti?!
 
Back
Top Bottom