kuna uzi humuhumu kwamba wasanii waliogoma kuburudisha kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za ccm hawatapata air time .Hawa madogo wanaonekana ni wafuasi wa Chama Chakavu. Mabadiliko yanayotakiwa ni kuiondoa CCM period, simply kwa sababu watu wameichoka and not otherwise.