huyu jamaa mwingine ni mpayukaji saana.
Pengine upo sawa au haupo sawa
Ww ndio.haupo sawa kwa sabb hujui kama yupo.sawa ama hayupo sawa
Ila ni maoni yake mkuu ndiyo maana ya mjadala, kila mtu yupo huru. Jifunzeni kupokea msiyoyapendaKuna ----- anamshutumu Gwajima amesahau Dr.mihogo ndio alianzisha ujinga huu sijui walitaka asijibiwe. Gwajima amefanya vzr sana kumpa mabango dr mihogo kama yeye alivomdhalilisha.
Nimerudi ccm mkuu.