Jamii: Tupia Screenshot yoyote uliyoipenda

Jamii: Tupia Screenshot yoyote uliyoipenda

kapesly

Senior Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
163
Reaction score
108
  1. Tupia screenshot yoyote unayohisi kwako ni bora
 
.
IMG-20180630-WA0052.jpg
 
Loh!!!hahah ila hawa jamaa sometimes wanazingua kinoma yani.unajikuta umekaa kichwa kimejaa stress mfukoni mia huna kisha simu inaashiria message kuingia unajipa moyo labda dili ulizozipanga kuna moja ime tick so muamala umeshafanyika ukifungua sms unakutana na ujinga huu!

Lazima mabovu yakutoke tu hakuna namna!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom